YOUSSOU N’DOUR ANAOGELEA KWENYE UTAJIRI
![](http://api.ning.com:80/files/PtBnzvaIyMbf3BF7KKui5aEUTjjMslwaiqei6njOe6m9-1b7SOSyAIrKfXozq-Xt1lazOeH8zoJ5m1LYMMcZKwkZvMG6LFmK/youssou_2142835b.jpg?width=650)
Mwanamuziki kutoka nchini Senegal, Youssou N'Dour. YOUSSOU N’dour ni mwanamuziki kutoka nchini Senegal barani Afrika. Anatumia staili Mbalax ambao ni mchanganyiko wa lugha za asili nchini Senegal ikijumuisha rhumba, jazz, rocky, pop na soul. Jarida la People With Money la Afrika Magharibi limemtaja kwa mara nyingine kuongoza kwa utajiri mwaka 2015 kwa upande wa wasanii wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola milioni 145 (zaidi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Jan
New Video: J. Martins ft. Youssou N’Dour — Time Is Now
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Youssou Ndour ndiye mwanamuziki tajiri
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Duara la Utajiri
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydVF*cUHAoiSSeaq2tfD8hYt-CegaO6WvkQ2EGyuKxyVhOI8ESegEPlXxRlibyLpSpAE-E5Dl*iRoeUKNeufiH*j/vickykamata.jpg?width=650)
UTAJIRI WA VICKY...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-bolz0a9UsBLHMSIhHUpH7X0ZvYVO2WBCuus72pD3FpkcIGDrMW7lM5OauqPA-NjWsMNmZIAeJ*5z-xLlI6YN3/masanja.jpg?width=650)
UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq19q3AYPwwRh1gs*UYEEaWlOJMVeKLCr86xvmdyiGN9WYbKCrMmt8mtmSZpC9IbDvWKU7CrrjWxBInkBLWgduVRE/UTAJIRI.jpg?width=650)
UTAJIRI WA DIDA GUMZO!
11 years ago
Habarileo08 Jul
Majirani kushiriki utajiri wa gesi
UTAFITI zaidi wa mafuta na gesi unaoendelea nchini, unaweza kuilazimu nchi kuingia katika makubaliano ya uzalishaji wa pamoja wa sehemu ya nishati hiyo na nchi za jirani. Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa iliyowekwa hivi karibuni katika Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa, imefafanua kwa undani historia ya mafanikio ya sekta hiyo muhimu kwa maisha ya kiuchumi ya Watanzania na uwezekano huo katika siku za hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kuna baadhi ya miamba inayozalisha gesi...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
TRA watikisa utajiri wa Dk.Fadhili
Dk. Fadhili Emily.
Mwandishi wetu
KASI ya Rais Dk. John Pombe Magufuli inatikisa kila kona. Baada ya mtabibu Dk. Juma Mwaka ‘JJ Mwaka’ kuibukiwa hospitalini kwake na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Hamis Kigwangalla wiki iliyopita na kuagizwa uchunguzi wa uhalali wa huduma zake, hali imekuwa tete kwa mtatibu mwingine, Dk. Fadhili Emily anayemiki kliniki ijulikanayo kama The Fadhaget Sanitarium iliyopo Afrikana Mbezi Beach jijini Dar.
Imeelezwa kuwa, Dk....
11 years ago
Habarileo23 Feb
Makinda akemea 'utajiri' bungeni
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda ametaka wanaotarajia kugombea katika uchaguzi mkuu wa 2015 kujiweka sawa kiuchumi badala ya kutegemea kutajirika wakiwa bungeni. Wakati Makinda akitoa ushauri huo kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba, kwa upande wake Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake, Anna Abdalah amesema wanaosema posho ya Sh 300,000 kwa siku haitoshi wana sababu zao.