Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziara ya mwandishi wa Uingereza yaibua mazito

MWANDISHI wa gazeti la Daily Mail la Uingereza, Martin Fletcher, aliyeletwa nchini na serikali, amezidi kuibua mazito baada ya Mhifadhi Mkuu wa Pori la Akiba la Selous, Benson Kibonde, kusema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PETE YA SHILOLE YAIBUA MAZITO!

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Naftari Mlawa ‘Nuhu Mziwanda’ akiwa na bebi wake Zuwena Mohammed ‘Shilole’. Stori: Waandishi Wetu
JAMBO limezua jambo, saa chache baada ya mwanadada mtafutaji kunako tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, kuvalishwa pete ya uchumba na mchumba wake, Naftari Mlawa ‘Nuhu Mziwanda’ tayari watu wameanza kuisengenya. Shilole...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nyepesi Nyepesi:Pete Ya Shilole Yaibua Mazito!!

Mara tu baada ya mwanadada  mwaigizaji wa filamu na mtafutaji kunako tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, kuvalishwa pete ya uchumba na mchumba wake, Naftari Mlawa ‘Nuhu Mziwanda’ tayari watu wameanza kuisengenya.

Shilole alivalishwa pete hiyo katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika ‘apartment’ za Baraka Plaza, Mikocheni jijini Dar ambapo mara baada ya mwanadada huyo kukata keki na kuwalisha watu mbalimbali waliohudhuria, ndipo Nuhu alipomsapraizi...

 

11 years ago

Habarileo

Ziara ya Kinana yaibua ufisadi Kalambo

ZIARA ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wilayani Kalambo, imeibua mgogoro wa mgawo wa fedha za chama hicho za wilaya, uliokuwa unafukuta. Kutokana na hali hiyo, ameamuru uchunguzi ufanyike haraka.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi Uingereza aja kuona vita dhidi ya ujangili

Serikali imeanza juhudi za kujinasua kwenye lawama kwamba haifanyi juhudi za kutosha kupambana na ujangili kwa kuwaalika waandishi wa habari wa kimataifa ili kujionea kazi inayofanyika.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi Uingereza aibua mapya meno ya tembo Tanzania

>Licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa ahadi ya kuteketeza maelfu ya meno ya tembo yaliyo kwenye ghala la Serikali, imeelezwa kuwa uwezekano huo ni mdogo.

 

11 years ago

Habarileo

Rais Kikwete aanza ziara Uingereza

RAIS Jakaya Kikwete amewasili mjini London, Uingereza, kwa ziara rasmi ya siku tatu ya kidola, moja ya ziara nadra kufanywa na viongozi wa nchi za nje nchini Uingereza.

 

11 years ago

GPL

ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI UINGEREZA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Bw. Hague alipomtembelea ofisini kwake jijini London kwa mazungumzo Machi 31, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron alipomtembelea ofisini kwake 10 Downing Street jijini London kwa mazungumzo…

 

11 years ago

Michuzi

JK arejea nyumbani baada ya ziara ya Uingereza na Ubelgiji

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki baada ya kuwasili leo April 4, 2014 katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Brussels, Ubelgiji, alikofanya ziara ya kikazi ya siku mbili na kuhudhuria mkutano wa mataifa ya Afrika na nchi za Jumuiya ya Ulaya. Kabla ya hapo Rais Kikwete alifanya zaiara ya kiserikali ya siku tatu nchini Uingereza kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe David Camaron. PICHA NA IKULU

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI UINGEREZA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.go.tz              Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,       THE STATE HOUSE,        P.O. BOX 9120,   DAR ES SALAAM. Tanzania.                                                                                          TAARIFA KWA UMMA
Uingereza inajivunia kuwa nchi inayoongoza katika uwekezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani