‘Acheni kufanya biashara za kuigana’
Mratibu wa Mafunzo ya Ujasiriamali kutoka Shirika la Alied Kemiko, Debora Magese amewataka wajasiriamali nchini kuwa wabunifu na kuepuka kufanya biashara za kufanana ili kukuza kipato chao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo511 Nov
Wasomi wengi hawawezi kufanya biashara, ila wanasaidia biashara nyingi kukua
5 years ago
MichuziMAJALIWA: WENYEVITI WA VIJIJI ACHENI BIASHARA YA ARDHI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji wanaofanya biashara ya ardhi waache na badala yake amewataka wajihusishe katika kutekeleza majukumu yao ya msingi.
Ameyasema leo(Jumatano, Machi 4, 2020) wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Bokwa wilayani Kilindi akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu amesema tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji kujihusisha na biashara ya uuzaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Utafiti muhimu kabla ya kufanya biashara
WATU wengi hufikiri kwamba mtaji ni kigezo pekee cha kuanzisha biashara na kutoona umuhimu wa kufanya utafiti. Kutokana na hali hiyo, hujikuta biashara zao zikishindwa kuhimili ushindani kwa kuanguka au...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Wanawake washauriwa kufanya biashara kubwa
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchini kutoridhika na biashara ndogo ambazo ni za kujikimu tu, na badala yake wawe na mtazamo wa kufanya biashara kubwa zitakazosaidia kuongeza uchumi wa familia.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Namna ya kufanya biashara kwa faida
10 years ago
StarTV14 Apr
Wasichana wa miaka 16 wadaiwa kufanya biashara ya Uchangudoa.
Na Gloria Matola,
Dar es Salaam.
Ongezeko la vitendo vya biashara ya ngono bado vinaelezwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hali ngumu ya kiuchumi ambapo wasichana wadogo wenye miaka 16 wanajihusisha na biashara hiyo hali inayoathiri afya zao tangu utotoni.
Jijini Dar es Salaam, maeneo ya Uwanja wa Fisi yaliyopo Manzese pamoja na nyumba ndogo rasmi za kufanyia ukahaba, Mwananyamala, Tandika na Kigamboni ni miongoni mwa maeneo yaliyoshamiri kwa biashara hiyo.
Star tv ilizungumza na...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Mbinu sahihi za kufanya biashara kwa mafanikio
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Lengo ni kuwawezesha kufanya biashara zao kwa tija