Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahimiza wasomi kutumia baiskeli

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaWANAFUNZI wa vyuo vikuu nchini wameshauriwa kutumia usafiri wa baiskeli kama ilivyo kwa nchi nyingi duniani kwani kuendesha baiskeli si ushamba kama wengi wanavyodhani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbunge ahimiza wasomi kusaidia maendeleo Chalinze

WASOMI wametakiwa kutumia elimu yao kukabili changamoto za kimaendeleo kwenye Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Bilal ahimiza wanawake vijijini kutumia huduma za afya

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka akinamama Zanzibar kujitokeza kwa wingi kuzitumia huduma za afya zilizopo vijijini kwa ajili ya kupunguza vifo vinavyotokana uzazi.

 

9 years ago

Michuzi

SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM

  DAR ES SALAAM, Tanzania. Tarehe 21 Septemba 2015 -- Symbion Power yenye tawi lake maeneo ya Ubungo leo imetangaza kuwa imefanikiwa katika majaribio ya kutumia gesi asilia katika mitambo yake . Gesi inapatikana  Ghuba ya  Mnazi iliyo karibu na Mtwara Kusini mwa Tanzania. 
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania


“Kwa mara nyingine Symbion...

 

11 years ago

Michuzi

Mgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO

  Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.  Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote  Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu  Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja  Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge  Eneo ambalo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msafara wa baiskeli Tanzania

Mamia ya waendesha baiskeli wajitokeza kwenye msafara katika barabara za Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha wananchi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afa akiendesha baiskeli

WATU wawili wamefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti akiwemo mwanamume aliyetambuliwa kwa jina la  Mashaka Mkani aliyefariki dunia akiwa anaendesha baiskeli. Kamanda wa Polisi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ford yazindua baiskeli ya kielektroniki

Kampuni ya kutengeza magari ya Ford imezindua baiskeli ya kutumia umeme

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kambi ya baiskeli Madola yaiva

KAMBI ya timu ya taifa ya mchezo wa baiskeli kwa ajili ya mashindano ya Jumuiya ya Madola, inatarajiwa kuanza wiki ijayo wilayani Karatu, mkoani Arusha. Awali kambi ya timu hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ?

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ? Tizama makala ya juma hili ya teknolojia ujue zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani