Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyekuwa amepooza atembea tena

Mtu aliyekuwa amepooza ,ameweza kutembea tena baada ya madaktari kutumia seli kutoka kwa pua lake na kuzipandikiza mgongoni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ATEMBEA NA MKE WA POLISI...

Na Imelda Mtema
AMA kweli haki hakuna.
Katika hali ya kusikitisha sana, kijana mmoja Elias John, mkazi wa Kigamboni jijini Dar, (28) amejikuta katika wakati mgumu wa kupofuka baada ya kuchomwa sindano inayodaiwa kuwa na sumu kufuatia kujihusisha kimapenzi na mwanamke anayedaiwa kuwa ni mke wa askari Polisi. Elias John, mkazi wa Kigamboni jijini Dar, (28) baada ya kupofuka macho. Akizungumza hivi karibuni jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

GPL

ATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO

Mwanamke huyo akiwa na boksi, huku akila wakati akikatiza mitaa ya Kariakoo (Pembeni ni wapita njia).
Akiwa kabeba boksi, juu lina  samaki wadogo, kitunguu na kipande cha chungwa.
Hapa akikatiza mitaani …

 

9 years ago

BBCSwahili

Atembea kilomita 2000 kwenda kortini India

Kiongozi wa kidini ameitamausha mahakama moja nchini India alipoiambia kuwa hatoweza kufika mbele yake hadi baada ya miezi 8 kwani hawezi kuabiri gari

 

10 years ago

Mwananchi

Kada achukua fomu, atembea hadi stendi

Antony Chalamila (66) amekuwa mgombe wa 41 kuchukua fomu ya kuomba kupitishwa na CCM kuwania urais, lakini kivutio kilikuwa ni jinsi alivyochapa mguu kutoka ofisi za chama hicho hadi stendi ya mabasi kurudi mkoani Morogoro.

 

11 years ago

GPL

LULU ATEMBEA ‘NIDO’ NJE!

Stori: Hamida Hassan MSANII wa filamu Bongo, Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni aliwashangaza watu baada ya kuvukwa na gauni alilokuwa amevaa na kulazimika kutembea huku sehemu kubwa ya kifua chake ikiwa wazi. Msanii wa filamu Bongo, Elizaberth Michael ‘Lulu’. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kiwanja kimoja kichopo mjini Arusha ambapo mmoja wa watu aliyemtia machoni Lulu aliyeomba hifadhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mjamzito atembea kilometa mia moja kutafuta msaada

pregnant_african_woman-istock_000012169363small

Na Nathaniel Limu

MKULIMA mkazi wa kijiji cha Ighombwe wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Esther Jilala (16),amelazimika kutembea umbali wa kilometa zaidi ya mia moja kutafuta msaada baada ya kuchoka kunyanyaswa na kupigwa kila siku mume wake.

Esther ambaye kwa sasa ana mimba ya miezi mitatu,alitembea umbali huo kwa siku mbili mfululizo.

Imedaiwa siku moja kabla ya kufanya maamuzi magumu ya kutoroka,alipigwa vibaya na mume wake Michael Luhenga, kwa kumutuhumu kuwa aliachia ndama wanyonye...

 

11 years ago

GPL

KISA GONJWA LA AJABU, ATEMBEA KWA MIKONO NA MIGUU

Na Gabriel Ng’osha
Mzee mwenye miaka 72, Petro Bulimi  mkazi wa Kijiji cha Itwimila A, Wilaya ya Magu mkoani Mwanza anatembea kwa kutumia mikono na miguu kufuatia kusumbuliwa na tatizo la uvimbe katikati ya uti wa mgongo. Mzee Petro Bulimi akiwa nyumbani kwake. 
Ugonjwa huo pia umesababisha kuibukwa kwa magonjwa mengine kibao yakiwemo ya miguu kuchezacheza  kama kuna golori ndani yake zinazozunguka....

 

10 years ago

GPL

BAADA YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE SASA ATEMBEA KWA MAKALIO

Na Makongoro Oging’
Nyinyiga Raphael (27) ni kijana, mkazi wa Yombo Machimbo wilaya ya Temeke ambaye ndoto zake za kuendelea na masomo zilikatika baada ya kupatwa na maradhi ambayo yanamtesa kwa kipindi cha miaka saba sasa bila kutembea kwa miguu kama ilivyokuwa awali. Nyinyiga Raphael akitembea kwa kutumia makalio. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake huko Yombo, mama mzazi wa kijana huyo alikuwa na haya ya...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Model atembea akiwa mtupu mitaani Hong Kong bila watu kugundua!

model1

Mwanamitindo mmoja ameonekana akikatiza mitaa ya jiji la Hong Kong, China akiwa mtupu kuanzia kiunoni hadi chini pasipo watu kugundua kutokana na kuchorwa mfano wa jeans katika mwili wake sehemu hiyo ya chini.

model1

Akiwa amevaa nguo ya juu iliyoandikwa ‘No pants are the best pants’ kwa nyuma, alionekana akipishana na watu mitaani, kwenye treni sehemu za kutolea pesa na kwingine bila watu kumshitukia.

Tazama picha zake;
model2

model3

model4

model5

model6

model7

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani