APRM kuadhimisha miaka 12 ya mageuzi Afrika
Na Mwandishi Wetu
Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) Jumanne, Machi 10, 2015 unaadhimisha miaka 12 ya kuleta mageuzi ya utawala na utungaji wa sera bora barani Afrika.
Maadhimisho hayo yatafanyika kwa namna na staili mbalimbali Barani Afrika katika nchi wananchama wa Mpango huo ikiwemo Tanzania.
Hapa nchini kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa APRM, Mpango huo utaadhimisha siku hiyo kwa kufanya mjadala wa wazi kwenye Chuo Cha Diplomasia kilichopo Kurasini,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTanzania kuadhimisha Siku ya APRM Afrika
Machi 9 mwaka huu Tanzania itaungana na nchi nyingine za Afrika wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kuadhimisha siku ya APRM barani humu.
Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa APRM Tanzania, Hassan Abbas alisema azimio la kusherehekea Siku ya APRM lilipitishwa Januari mwaka jana katika kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM kilichofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
“Kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM...
10 years ago
CloudsFM15 Jan
THT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUAZISHWA
Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji(THT) kinarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake,sherehe hizo zinarajiwa kufanyika Jan.31,Escape One,Mikocheni jijini Dar.THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji,lakini wasio na uwezo wa kujiendeleza wenyewe kwenye sekta ya sanaa hapa nchini,na toka wakati huo kituo hicho kimekuwa na mafanikio makubwa na mchango wa pekee kwenye kukuza sana ya muziki hapa nchini.Akizungumzia maadhimisho hayo meneja wa...
11 years ago
GPLKAMANDI YA JESHI LA ANGA KUADHIMISHA MIAKA 32
9 years ago
Michuzi9 years ago
Vijimambo10 years ago
MichuziTHT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUANZISHWA KWAKE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Lady in Red kuadhimisha miaka 10 Valentine’s Day
WABUNIFU mbalimbali wanatarajiwa kupamba miaka 10 ya onesho la mavazi lijulikanalo kama Lady in Red Super Brand linalotarajiwa kufanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, Siku ya Wapendanao ‘Valentine’s...
10 years ago
VijimamboHotuba ya Rais, Dk Shein kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi
Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar;
Mheshimiwa Balozi...
10 years ago
VijimamboMASHINDANO YA NGALAWA YA KUADHIMISHA MIAKA 51 YA MAPINDUZI ZANZIBAR