Askari majambazi jela miaka 30
MAHAKAMA ya Mkoa wa Mbeya imewahukumu watu watano wakiwemo askari wawili wa polisi na magereza kwenda jela miaka 30 kila mmoja kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Mar
Askari feki JWTZ jela miaka 3
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mwanamume aliyejifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kufanya utapeli.
10 years ago
Mwananchi30 May
Majambazi wampora bunduki askari, Pwani
10 years ago
Habarileo10 Apr
Askari JKT auawa akisaidiana na Polisi kukabili majambazi
WATU wawili akiwemo jambazi mmoja na askari mwanafunzi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wamekufa na wengine kunusurika kuuawa katika tukio lililotokea juzi, mjini Mafinga mkoani Iringa wakati majambazi wakirushiana risasi na askari wa Jeshi la Polisi.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cSjegndslCI/U2Ei95WHc5I/AAAAAAAFeK4/IgSPjLml578/s72-c/unnamed+(72).jpg)
Matukio ya Kuaga mwili wa askari aliyeuawa na majambazi Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-cSjegndslCI/U2Ei95WHc5I/AAAAAAAFeK4/IgSPjLml578/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-abCfpgFtliM/U2Ei-EGu21I/AAAAAAAFeLM/GT1Qt9sUQ3c/s1600/unnamed+(73).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Aliyepongeza majambazi yaliyovamia Polisi Stakishari… ahukumiwa jela
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Bruno Kimaryo, kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza ujumbe katika mtandao wa kijamii wa kuyapongeza majambazi yaliyovamia Kituo cha Polisi cha Stakishari na kuua polisi. Aidha, mshtakiwa huyo ametakiwa ama kulipa faini ya Sh. 600,000 kwa kosa hilo.
Katika tukio la Stakishari lililotokea Julai 12, mwaka huu, majambazi yalivamia kituo hicho na kuua polisi wanne na raia watatu pamoja na kupora bunduki 20 aina ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL8B2fQNibjloNJ4nr1KUCPNtUdkmUIgA3Ojjra1PNLj62bYeNfqzbfxotlj-bgmIARQkp2QC0Me-BzsbYNjKUXo/breakingnews.gif)
KITUO CHA POLISI IKWIRIRI CHAVAMIWA NA MAJAMBAZI, ASKARI WAWILI WAUWAWA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s72-c/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
News Alert: Majambazi wavamia kituo cha Polisi Kimanzichana na kuua Askari
![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s1600/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la JOSEPH NGONYANI na kuanza kumkatakata mapanga na hatimaye kupora silaha aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
Ndipo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s72-c/IMG_20150714_173808.jpg)
MWILI WA MMOJA WA ASKARI WALIOUAWA NA MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI WAAGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s640/IMG_20150714_173808.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmf7sgKl5dE/VaYUMPqccsI/AAAAAAAABc4/weQXQ0JxyKE/s640/IMG_20150714_173219.jpg)