Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barabara Mandela kufungwa siku tano

KIPANDE cha Barabara ya Mandela hadi makutano ya Ubungo Mataa jijini Dar es Salaam kinafungwa kwa siku tano kuanzia leo kupisha ujenzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kipande cha barabara ya Mandela kufungwa leo

MKANDARASI Mkuu anayeshughulikia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, Strabag International ametangaza kufungwa kwa muda kipande cha barabara ya Mandela hadi makutano ya Ubungo Mataa kuanzia leo....

 

11 years ago

Michuzi

Kipande cha barabara ya Mandela kufungwa kuanzia leo

Mkandarasi mkuu anaeshughulikia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, Strabag International ametangaza kufungwa kwa muda kipande cha barabara ya Mandela hadi makutano ya Ubungo Mataa kuanzia leo.
Akiongea jana na waandishi wa habari, Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Bw. Yahya Mkumba alisema kipande cha barabara ya Mandela kuanzia makutano ya barabara ya morogoro upande wa kushoto uelekeo wa Tabata kuanzia ubungo mataa hadi darajani patafungwa.
Kipande hicho kitafungwa kuanzia...

 

10 years ago

GPL

MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI

Mandla Mandela, mjukuu wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela. Mandla akiwa na babu yake Mzee Nelson Mandela. MANDLA MANDELA, mjukuu wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amehukumiwa kwenda jela au kulipa faini ya kwa kumshambulia na kumtishia kwa bastola mwalimu wa shule moja mwaka 2013. Mandla, ambaye ni mbunge wa… ...

 

11 years ago

Habarileo

Barabara Ubungo kufungwa

KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag International GmbH inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) imetangaza kufungwa kwa baadhi ya njia katika eneo la taa za Ubungo, Dar es Salaam kuanzia leo usiku hadi keshokutwa kwa ajili ya kuruhusu ujenzi.

 

11 years ago

Habarileo

Barabara ya Kawawa/Morocco kufungwa

KAMPUNI ya Strabag International GmbH inayojenga barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka mjini Dar es Salaam, imetangaza kufunga barabara ya Kawawa/ Morocco kesho na keshokutwa ili kupisha ujenzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara ya Kawawa/Kinondoni kufungwa leo

MKANDARASI Mkuu wa Ujenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka, Strabag International GmbH, imetangaza kufungwa kwa muda kipande cha makutano ya barabara ya Kawawa na Kinondoni kuanzia leo na kesho....

 

11 years ago

Habarileo

Makutano barabara Morogoro, Kawawa kufungwa wiki 2

MKANDARASI mkuu wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka (BRT), Strabag International ametangaza mabadiliko ya matumizi katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa.

 

11 years ago

GPL

UBUNGO MATAA KUFUNGWA KUPISHA UJENZI WA BARABARA

Muonekano wa daraja Kituo cha mabasi Ubungo jijini Dar. KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag  inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imetangaza mabadiliko ya muda katika eneo la Ubungo jijini Dar es salaam kuanzia kesho na kesho kutwa usiku kutokana na ujenzi unaoendelea wa barabara. Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Bwana Yahya Mkumba,...

 

11 years ago

Michuzi

taarifa ya kufungwa kwa Barabara ya Bagamoyo - Makofia - Msata kutokana na mafuriko

MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA BARABARA TANZANIA (TANROADS) ANAPENDA KUTOA TAARIFA KWA  UMMA NA WATUMIA BARABARA YA BAGAMOYO – MAKOFIA - MSATA KWAMBA BARABARA HII IMEFUNGWA KWA AJILI YA USALAMA  WA ABIRIA NA VYOMBO VYA USAFIRI KUTOKANA NA MVUA KUBWA ZINAZONYESHA NCHINI NA KULETA MAFURIKO KWENYE BONDE LA DARAJA LA RUVU CHINI.
MADEREVA WANASHAURIWA KUTUMIA BARABARA YA DAR ES SALAAM – CHALINZE - MOROGORO NA BAGAMOYO – MLANDIZI – CHALINZE KWA KIPINDI HIKI AMBACHO BARABARA YA BAGAMOYO – MAKOFIA –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani