Bilionea atunza watoto TZ
Kituo cha watoto mayatima mjini Arusha kina kila sababu ya kumshukuru billionea wa umri mdogo Zaidi nchini Tanzania, Patrick Ngowi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRUnpU7m18dirQi8ihLcfNuSxv1G58-LZRikVgbU2qVVKsLQVbyeL2*jvU7n2vsw2izbd9Qi5O8WXYG43Z*p4yM/bilionea.jpg)
BILIONEA LAKE...
Stori: MAKONGORO OGING’ NA HARUN SANCHAWA Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtia mbaroni bilionea Ally Edha Awadhi ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya Lake Oil ya Mikocheni jijini Dar es Salaam kutokana na madai ya kumtesa mfanyakazi wake. Mfanyakazi aliyeteswa. Akizungumza na waandishi wa habari hii ofisini kwake wiki iliyopita, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar, ACP Jafari Mohamed...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Bilionea alivyopanga mauaji
MFANYABIASHARA bilionea anayemiliki vitalu vya kuchimba madini ya tanzanite huko Mirerani mkoani Manyara, Joseph Damas, maarufu kwa jina la ‘Chusa’, ndiye anayedaiwa kupanga mauaji ya bilionea mwenzake wa madini, Erasto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LCkUiWyQToby5aSZJZZBBFl4Lx1GWQ-2zfNy*WlyNChFKD0GI1Cf8FJ-AieN1bAY1fdWpeCIfbNLbyXpaotR74P/madawa.jpg)
BILIONEA WA UNGA ATIKISA DAR
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
HII kali! Kukamatwa na polisi kwa mfanyabiashara bilionea jijini Dar, Mharami Mohamed Abadallah ‘Chonji’ (44) (aliyezungushiwa duara) hivi karibuni akidaiwa kukutwa na madawa ya kulevya ‘unga’ aina ya heroin yenye thamani ya shilingi 300,000,000 kumelitikisa Jiji la Dar, Uwazi limefuatalia hatua kwa hatua. Mfanyabiashara bilionea jijini Dar, Mharami...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0bfNFAOzL1Q6SfmuH0yuemql8VtQFl20lATu8eS-MsXiMNw8dS5zW-uPmvwt*S5Q2r5QxnKIMK09WzTSLytOLgD8KEDEDYV4/askofu.jpg?width=650)
ASKOFU BILIONEA BONGO ATIKISA
Stori: Jelard Lucas
ASKOFU na Nabii George David ‘Geordavie’ wa Kanisa la Geordavie Ministry ‘Ngurumo ya Upako’ lililoko jijini Arusha na Kawe, Dar hivi karibuni alifanya mkutano mkubwa na kutikisa nchi kwa kuwa na magari ya kifahari na ndege aina ya helikopta ‘chopa’ iliyokuwa ikirandaranda juu ya anga kulinda usalama wake, Uwazi lina ushuhuda wa kutosha. Katika mkutano huo uliofanyika...
11 years ago
BBCSwahili26 May
Bilionea ashinda uchaguzi wa Ukraine
Matokeo ya kura yaliotangazwa nchini Ukraine yanaonyesha kuwa tajiri Petro Porishenko ameshinda awamu ya kwanza ya uchaguzi wa urais.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-*gLHuflH*KZtyzkIgvgEn0-0p0Iu0Z9SyQS9SOdeI8zqYBGVD28GBO2TICCd3T-8IXsT*WMg0z5QsmC5lt7ER1/wastara.jpg?width=650)
WASTARA: NATAKA KUOLEWA NA BILIONEA
Stori:Â Na Imelda Mtema
IKIWA ni takribani mwaka mmoja tangu alipoondokewa na mumewe, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema sasa yupo tayari kuolewa lakini sharti la kwanza la muoaji lazima awe mtu mwenye fedha zake. Wastara Juma. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Wastara alisema, amekuwa mpweke kwa muda mrefu na sasa ni wakati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDpdT74VPAM2*94HMlgQeP2Nfd1jPaM-28LWZIDZ3JkCdk7JOEtvEznmZMnSbQ32leeCbxjuGkr8nXaXdB1tH-XN/bilion.jpg)
BILIONEA LAKE OIL ATOWEKA
Stori: Makongoro Oging’
BILIONEA mmiliki wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Ally Edha Awadhi anayetafutwa na polisi kwa kosa la kumnyanyapaa, kumdhulumu, kumtesa na kumjeruhi mfanyakazi wake, ametoweka na huenda akawa amekimbilia nje ya nchi, Uwazi limenasa mkanda mzima. Mfanyakazi wa bilionea anayemiliki kampuni ya mafuta ya Lake Oil. Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Mwili wa bilionea Mrema wawasili
Vilio na majonzi vimetawala jana wakati mwili wa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu, Maleu Mrema ulipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) ukitokea nchini Afrika Kusini.
10 years ago
Vijimambo11 Feb
'Mauaji ya Bilionea Msuya yalisukwa hivi'
Korti yaelezwa simu zilivyonunuliwa , Tanzanite ilitumika kama chambo
Erasto Msuya
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi imeelezwa namna mauaji ya ‘Bilionea wa Madini ya Tanzanite’, Erasto Msuya (43), yalivyosukwa na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Sharif Athuman (31), ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Kimandolu, mkoani Arusha.
Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30),...
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Erasto-11Feb2015.jpg)
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi imeelezwa namna mauaji ya ‘Bilionea wa Madini ya Tanzanite’, Erasto Msuya (43), yalivyosukwa na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Sharif Athuman (31), ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Kimandolu, mkoani Arusha.
Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30),...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania