Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bulaya alala mahabusu, aachiwa

DSC07808Na Shomari Binda, Musoma

MGOMBEA ubunge Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya, amelala mahabusu katika Kituo Kikuu cha Polisi mjini Musoma, akidaiwa kutaka  kuvamia Kituo cha Polisi Wilaya ya Bunda.

Bulaya, alikamatwa juzi jioni mjini Bunda pamoja na wafuasi sita wa chama hicho, kisha kusafirishwa usiku hadi mjini Musoma.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya Bulaya na wenzake kuachiliwa kwa dhamana jana, wakili wa chama hicho, Peter...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO

Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiMAHABUSU wapya kupokelewa Gerezani mara baada ya kufanyiwa vipimo vya afya zao hii ni kufuatia kwa kuripotiwa kwa uwepo wa ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini.
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Alala barabarani kuchangisha fedha

Mwanafunzi huyo amekuwa akilala barabarani ili kuchangisha fedha za kumsadia mtu aliyemuokoa.

 

11 years ago

GPL

ALEWA CHAKARI, ALALA STENDI

Vitabu vya Mungu vinataja kila kitu ni lazima kiwe na kiasi, ukizidisha basi kinachoweza kutokea ni aibu.
Jamaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, alijikuta akipata aibu ya mwaka baada ya kunywa pombe na kulewa chakari na Katika hali ya sintofahamu kijana mmoja amekutwa akiwa amelewa chakali na kulala kwenye stendi ya mwenge. kukata ‘netiweki’ jambo lililosababisha ‘aangushe gari’ pembeni...

 

10 years ago

GPL

ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND

Stori: Mwandishi Wetu/ Amani
IMEFICHUKA! Mrembo wa Uganda ambaye kwa sasa ndiye ‘usingizi’ wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ hivi karibuni alitua Bongo na kulala nyumbani kwa mama wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’, Sinza-Mori jijini Dar. Mrembo wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’. Chanzo makini kilicho karibu na familia ya Diamond...

 

10 years ago

Mwananchi

Halima Mdee akosa dhamana, alala Segerea

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35), jana alikosa dhamana na kupelekwa rumande katika Gereza la Segerea hadi leo maombi ya dhamana yake yatakaposikilizwa tena.

 

9 years ago

Mwananchi

Mama alala kitandani miaka 15 bila msaada

Makosa yaliyofanywa kwenye operesheni ya Aisha Baraka, mkazi wa kitongoji cha Mshikamano wilayani Nachingwea, yamesababisha alale kitandani kwa miaka 15 sasa bila ya msaada.

 

10 years ago

Vijimambo

SAFARI YA MATUMLA YA MAREKANI YAISHIA DIAMOND JUBILEE,PROMOTA ALALA MBELE



Bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla. IMEFAHAMIKA kuwa ile safari ya bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla kwenda kuzichapa katika pambano la utangulizi litakalowakutanisha mabondia Floyd Mayweather Jr dhidi ya Manny Pacquiao nchini Marekani, Mei 2, mwaka huu, inaweza kuwa imeishia kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar.Matumla alipata nafasi hiyo baada ya kumchapa kwa pointi Wang Xin Hua wa China katika pambano la Ubingwa wa Dunia wa WBF ambapo ilielezwa mshindi atasafiri...

 

11 years ago

GPL

MBUNGE FILIKUNJOMBE ALALA ZAHANATI YA MBONGO WANANCHI WAFANYA SHEREHE‏

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akikabidhiwa zawadi ya mfano wa Mtumbwi na wananchi wa Mbongo Ludewa Wananchi wa Mbongo wakimsalimu mbunge wao Deo Filikunjombe baada ya kufika kijijini hapo na kulala katika zahanati ya kijiji hicho WANANCHI wa kijiji cha Mbongo wilaya ya Ludewani mkoani Njombe wakesha usiku kucha kufurahia mbunge wao Deo Filikunjombe kuwa kiongozi wa kwanza toka nchi ipate uhuru mwaka 1961… ...

 

10 years ago

GPL

PANYA ROAD KWISHA KAZI! KOVA ALALA NJE SAA 120

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
BAADA ya kuwakosesha amani wakazi wa Jiji la Dar es Salaam usiku wa Ijumaa iliyopita, lile kundi la vijana wahalifu linalojulikana kwa jina la Panya Road limefikia ukingoni baada ya kudhibitiwa kwa kasi kubwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Amani linakupa ‘full stori’. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova. Kundi hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani