Bulaya alala mahabusu, aachiwa
Na Shomari Binda, Musoma
MGOMBEA ubunge Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya, amelala mahabusu katika Kituo Kikuu cha Polisi mjini Musoma, akidaiwa kutaka kuvamia Kituo cha Polisi Wilaya ya Bunda.
Bulaya, alikamatwa juzi jioni mjini Bunda pamoja na wafuasi sita wa chama hicho, kisha kusafirishwa usiku hadi mjini Musoma.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya Bulaya na wenzake kuachiliwa kwa dhamana jana, wakili wa chama hicho, Peter...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Alala barabarani kuchangisha fedha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0H*gxuhBSqrvG10*bc17uT8E3ZSujNLtza76VN-ARSvQU*Ek0XM5Kk9FXFfDBWa-ClRQlxMV9IxMRcvm6aXcig/batuli2.jpg?width=650)
ALEWA CHAKARI, ALALA STENDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvOpcy9nx*k53zRGxnem5qulA7P0YFfk6rLO8i7YLbrzUIrDOkhMkbyRdww6vmGC-gRbiCk5pNDtypcerruejM-/Zari.jpg)
ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Halima Mdee akosa dhamana, alala Segerea
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Mama alala kitandani miaka 15 bila msaada
10 years ago
Vijimambo06 Apr
SAFARI YA MATUMLA YA MAREKANI YAISHIA DIAMOND JUBILEE,PROMOTA ALALA MBELE
Bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla. IMEFAHAMIKA kuwa ile safari ya bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla kwenda kuzichapa katika pambano la utangulizi litakalowakutanisha mabondia Floyd Mayweather Jr dhidi ya Manny Pacquiao nchini Marekani, Mei 2, mwaka huu, inaweza kuwa imeishia kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar.Matumla alipata nafasi hiyo baada ya kumchapa kwa pointi Wang Xin Hua wa China katika pambano la Ubingwa wa Dunia wa WBF ambapo ilielezwa mshindi atasafiri...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-y3xZqKJye6bIrMvNvLYcMHKx1NH0Cs4J3cKvKsEhxZ0PvCs37wy-DamVtrxge6sc8Aw3rEBNIOAZd3RJ5z73Hx/ImageProxy1.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOMBE ALALA ZAHANATI YA MBONGO WANANCHI WAFANYA SHEREHE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6C09*IqW1Cka9pxPThrqjCPdIG*YIDXLdr7cVbqOU3G4IvGQtfH0jrsgVIiScgcw-4rY98iuSORiKaUtbWgCS8/FRONTAMANI.jpg?width=650)
PANYA ROAD KWISHA KAZI! KOVA ALALA NJE SAA 120