Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM haijamaliza kukata, ikate na hawa

HATIMAYE CCM imekata kilichosema hakikatiki!

Yahya Msangi

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kingunge asisitiza haki ya kukata rufaa CCM

Kingunge Ngombale Mwiru.MUASISI wa Chama Cha Mapinduzi, Kingunge Ngombale-Mwiru amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoa nafasi ya rufaa kwa watu watakaoona kutotendewa haki katika kuwania urais kupitia chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : CCM yasubiriwa Dodoma kukata jongoo kwa meno

Wiki ijayo ni ya CCM “kukata jongoo kwa meno” ili kuzima makundi ya watu yanayofuatafuata wanasiasa fulani wanaojiita waheshimiwa.

 

10 years ago

Mtanzania

Profesa Safari: Chadema haijamaliza mamluki

Profesa Abdallah Safari

Profesa Abdallah Safari

NA ELIZABETH MJATTA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Profesa Abdallah Safari, amesema hana uhakika kama wameweza kumaliza mamluki ndani ya chama hicho, bali wamejitahidi kuwadhibiti kupitia Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni.

Akizungumza na MTANZANIA Jumapili katika mahojiano maalumu, Profesa Safari ambaye aliwafananisha mamluki na kansa, alisema wanaweza kuharibu chama endapo watapata mwanya wa kufahamu mambo muhimu ya chama.

“Mamluki ni watu wabaya,...

 

9 years ago

Habarileo

Waliopitishwa kuwania udiwani CCM majimbo ya Dar hawa hapa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetoa majina ya wagombea udiwani katika kata zote za majimbo 10 ya uchaguzi.

 

10 years ago

Vijimambo

KATIKA MAJIMBO 28 HAWA NDIO WALIOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM


KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba2. Nape - Mtama3. Mwakasaka - Tabora Mjini4. Mama Sitta - Urambo5. Kadutu - Ulyankulu6. Bashe - Nzega7. Ngeleja - Sengerema8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.9. Masaburi - Ubungo10. Patel - Ukonga11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi12. Kagasheki - 13. Lukuvi - Isimani14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini16. Ndugai - Kongwa17. Chumi - Mafinga18. Kigola - Mufindi kusini19. Mgimwa - Mufindi kaskazini20. Filikunjombe - Ludewa21. Mgimwa - Kalenga...22....

 

9 years ago

Vijimambo

‘Toroka Uje Ya Ukawa’ Kusomba Vigogo Hawa Wa CCM..? HII BALAA SASA


Taarifa tulizozipata zinaeleza kuwa Kambi ya Ukawa imepanga kuzindua rasmi kampeni yake walioyoipa jina la ‘Toroka Uje’, ikiwa na nia ya kuhamasisha watu wengi kukitoroka Chama Cha Mapinduzi na kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo chetu, baadhi ya majina ya vigogo wa CCM wanaodhaniwa kuwa huenda wakajiunga na kambi ya upinzani kupitia kampeni hiyo ni pamoja na mwana siasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru.Wengine wanaotajwa kuwa...

 

9 years ago

Vijimambo

KINANA MWANZA,MAGUFULI MOSHI NA HAI..HUKO BUMBULI NA MLALO WALIKUWA VIJANA WA KAZI WA CCM HAWA HAPA

Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.January Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.January Makamba chaguo la Wanabumbuli.Watoto nao ni Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi kwa uongozi Ujao."Mabadiliko ya kweli yapo CCM"January Makamba akinadi sera zake na kuzungumzia Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa jimbo la Bumbuli kata ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

EU yajadili kukata msaada Burundi

Muungano wa Ulaya EU umeanza kikao maalum kujadili uwezekano wa kukata msaada wake nchini Burundi. EU ndio inatoa msaada mkubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani