Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coastal waenda Oman, wabeba ndizi, nyanya

Martha Mboma na Musa Mateja
MSAFARA wa wachezaji na viongozi 30 wa Coastal Union uliondoka jana jijini Dar kwenda nchini Oman kwa ajili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara huku ukiwa umebeba ndizi na nyanya. Coastal iliyomaliza mzunguko wa kwanza ikiwa kwenye nafasi ya nane baada ya kujikusanyia pointi 16, ilipishana na Yanga ambayo nayo iliondoka jana usiku wa manane kuelekea Uturuki. Msafara huo uliokuwa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Coastal yakamilisha programu yake Oman

Benchi la ufundi la Coastal Union limekamilisha programu ya mechi nne za kujipima ubavu na sasa linaelekeza nguvu katika mbinu na mazoezi mepesi.

 

11 years ago

GPL

SHILOLE AWACHANA MASTAA WABEBA UNGA

Stori: Shani Ramadhani
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amewachana wasanii wanaojihusisha na madawa ya kulevya kuwa ni wavivu. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na paparazi wetu pasipo kuwataja majina, Shilole alisema wasanii wengi ni wavivu na kinachowaponza zaidi ni tamaa za kuwa na maisha mazuri, wanafikiri mafanikio yanakuja kirahisi pasipo kuhangaika. “Wanafikiri...

 

11 years ago

Mwananchi

Casillas, Del Bosque wabeba mzigo

 Kipa na nahodha wa Hispania, Iker Casillas alipotea kabisa, Gerard Pique alizidiwa mbio na Sergio Ramos alifanya uzembe wa hali ya juu.

 

10 years ago

Habarileo

Wabeba mimba wakati wa baridi wapewa somo

JUMLA ya watoto 76 wamezaliwa katika mkesha wa Mwaka Mpya katika jiji la Dar es Salaam, huku akinamama wakishauriwa kutobeba mimba katika kipindi cha baridi ili kujifungua wakati wa msongamano mdogo hospitali.

 

10 years ago

Mwananchi

Dida, Jaja, wabeba jukumu zito Yanga

Pambano la watani wa jadi, Yanga na Simba kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam litakuwa mtihani mkubwa kwa nyota watatu wa Yanga kwa sababu tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Wabeba mizigo wafanya vurugu kubwa Kibaigwa

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David MisimeWABEBA mizigo wa Soko Kuu la Mazao la Kibaigwa juzi wakiwa na vijana wanaokadiriwa 300 walifanya fujo kwa kufunga barabara kuu ya Dodoma – Morogoro kwa mawe na kuchoma matairi huku wakipiga mawe magari yaliyokuwa yakipita barabarani.

 

10 years ago

Vijimambo

Ngassa, Msuva, Niyonzima wabeba tuzo Yanga SC


KUNDI maarufu la Yanga Facebook Family leo asubuhi katika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam limekabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu hiyo kwa Mrisho Khalfan Ngassa.Ngassa amechaguliwa mchezaji bora kutokana na mchango wake mkubwa alioonesha mwaka huu klabuni hapo.Pia Haruna Niyonzima amepewa tuzo ya mchezaji bora wa kigeni klabuni hapo wakati Simon Msuva amepewa tuzo ya mfungaji bora wa klabu mwaka msimu huu. Credit: ShaffihDauda number one sports blog.
Yanga facebook family wakipiga...

 

9 years ago

Mwananchi

Ubonge ‘nyanya’ wamtesa Boban

Wakati Simba ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City, imebainika kuwa Wekundu hao wa Msimbazi waliingia uwanjani wakiwaza namna ya kumkaba kiungo wao wa zamani Haruna Moshi ‘Boban’.

 

5 years ago

CCM Blog

NYANYA ZAPANDA BEI DODOMA

   SABABU ni mvua! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wafanyabiashara wa zao la nyanya kuitaja mvua kama sababu iliyochangia kupanda kwa bei ya zao hilo kwa siku za hivi karibuni kwenye maeneo mbalimbali nchini na Dodoma ikiwemo.

Kwa siku za hivi karibuni zao la nyanya limeshika umaarufu mkubwa midomoni mwa watu kutokana na kupotea kwake sokoni na zinapopatikana basi bei yake imekua juu tofauti na ilivyozoeleka.

Michuzi Blogu imefanya uchunguzi wake katika masoko ya Sabasaba na Majengo ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani