Coastal yakamilisha programu yake Oman
Benchi la ufundi la Coastal Union limekamilisha programu ya mechi nne za kujipima ubavu na sasa linaelekeza nguvu katika mbinu na mazoezi mepesi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOQostzNXAcpGCHRHhUv9NivpIcja9yd5amUt2lvc8DA4vzAvB95oEKY62wd7xJZ-um0PX5MXfY-dawtsMKtCXYL/COASTAL.jpg?width=650)
Coastal waenda Oman, wabeba ndizi, nyanya
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
CUF yakamilisha safu yake
HATIMAYE Chama cha Wananchi (CUF) kimekamilisha mchakato wa kuchagua safu ya uongozi wa kitaifa kwa kuwachagua wajumbe 45 wa Baraza Kuu la Uongozi Taifa, 20 kati yao wakitokea Zanzibar. Wajumbe...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0uOEkMNY1qg/VEQycUfOelI/AAAAAAAGr_s/C_WTufh0gek/s72-c/IMG_20141019_112051.jpg)
Spika Makinda aendelea na ziara yake nchini Oman
![](http://3.bp.blogspot.com/-0uOEkMNY1qg/VEQycUfOelI/AAAAAAAGr_s/C_WTufh0gek/s1600/IMG_20141019_112051.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BrfqVbhZ0JY/VEQyaJP0aXI/AAAAAAAGr_g/3AJ9CVUr_nQ/s1600/IMG_20141019_110606.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Feb
YANGA SC YA TAIFA SIYO YA TANGA COASTAL WAKAA NYUMBANI NA KUIPISHA YANGA IFANYE YAKE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Cannavaro-6.jpg)
Ushindi huo umeifanya Yanga SCiwang’oekileleni Azam FC ikifikisha pointi 22,moja nyuma ya wanalambalamba ambao hata hivyo, wana mechi moja mkokoni.Katika mechi hiyo ya kiporo ya raundi ya 10 iliyopaswa kuchezwa jijini hapa Januari 10 lakini ikapigwa kalenda na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Ewura yakamilisha kanuni
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imesema kuwa imetayarisha na kukamilisha kanuni ndogo za uendeshaji wa biashara ya mafuta nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na mamlaka hiyo, kanuni hizo ndogo ni za uendeshaji wa biashara ya mafuta ya vilainishi (lubricants).
“Kanuni hizo zipo tangu mwaka 2014 na zilichapishwa kwenye gazeti la serikali namba 64/2014,” inasomeka taarifa hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu...
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Simba yakamilisha kambi Lushoto
TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii, baada ya kumaliza kambi ya wiki mbili wilayani Lushoto kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kocha Msaidizi wa Simba Seleman Matola alisema jana kuwa timu yao ilikuwa Lushoto kwa kambi ya wiki mbili kwa ajili ya mazoezi ya ukamilifu wa mwili kabla hawajaanza rasmi mazoezi ya uwanjani.
Alisema Kocha wao Mkuu, Dylan Kerr, alitaka timu iweke kambi sehemu ya baridi, kwa kuwa ni rahisi kufanya mazoezi kwa...
11 years ago
Mwananchi12 May
Tanesco yakamilisha miradi 10 ya Jica
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
BFT yakamilisha leseni za mabondia
SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limekabidhi leseni za mabondia watakaoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, kwa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Swala yakamilisha utafiti Pangani
KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala hapa nchini imetangaza kukamilika utafiti wa kupata nishati hiyo uliyoanza Agosti 24 mwaka huu bonde la mto Pangani Tanzania uliohusisha kilomita 200 ....