Deni la Sh275 bilioni lailiza Tanesco
Dar es Salaam. Shirika la Umeme (Tanesco) limesema limbikizo la deni la Sh275 bilioni kwa taasisi mbalimbali za Serikali na wateja binafsi, linachangia kukwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
TANESCO Wataja Deni la Wema Sepetu Kufuatia Kuiba Umeme!
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limemkaba koo staa maarufu wa Bongo Movies , Wema Sepetu baada ya kubainika kutumia nishati ya umeme kwa njia zisizo halali.
![Wema Sepetu](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/wema-seoetu24.jpg)
Wema Sepetu
Hivi karibuni TANESCO walifanya ziara ya kushtukiza kwenye nyumba yake na kubaini kuwa muigizaji huyo anatumia umeme wao bure!
Jana Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Eng. Felichesmi Mramba alizungumza na waandishi wa habari na kutaja kiasi cha fedha kitakachopatikana kutokana na faini waliyowapiga wezi mbalimbali wa...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Deni la Sh1.13 bilioni kuziponza Polisi, Magereza
5 years ago
Bongo514 Feb
Serikali kurejesha deni la shilingi bilioni 3.2 za Shirika la Posta
Serikali imeahidi kuwa italirejeshea Shirika la Posta Tanzania kiasi cha shilingi bilioni 3.2, ambazo zilitumika kuwalipa wastaafu wa Shirika la Posta na Simu la Afrika Mashariki, punde ifikapo tarehe 30, mwezi Juni mwaka huu.
Ahadi hiyo imetolewa Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la nyongeza kutoka kwa Mbunge wa Ludewa, Mhe. Deo Ngalawa (CCM), aliyehoji,
Serikali ilikuwa na mpango gani wa kuwalipa Wastaafu hawa...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Serikali kulipa riba Sh5 bilioni deni la miezi sita
10 years ago
Habarileo12 Sep
PPF yaikopesha Tanesco bilioni 30/-
MFUKO wa Pensheni wa PPF kwa kushirikiana na taasisi nyingine za fedha, umetoa mikopo kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) yenye thamani ya Sh bilioni 30 kwa ajili ya uboreshwaji wa miundombinu ya umeme.
9 years ago
Habarileo07 Dec
TPC yaidai Tanesco bilioni 2.9 za umeme
KIWANDA cha Uzalishaji Sukari (TPC) Ltd cha Moshi mkoani Kilimanjaro kinalidai Shirika la Umeme nchini (Tanesco) zaidi ya Sh bilioni 2.9 kama fedha za kuwauzia umeme unaozalishwa hapo na kuingizwa katika Gridi ya Taifa.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Sh5 bilioni za Tanesco ‘zamezwa’ na vipuri chakavu
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi