Dimpoz aeleza alivyolizwa Marekani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, ameeleza namna alivyoibiwa simu yake ya mkononi akiwa nchini Marekani alikokwenda kwa ziara maalumu ya kimuziki.
Dimpoz alisema baada ya kufanya onyesho la kwanza mjini Texas aliamua kufanya ununuzi katika duka moja kubwa la nguo katika mji huo lakini baada ya muda akajikuta hana simu.
“Niliangalia mfukoni sikuikuta, nikajaribu kuipiga haikuita nilipomwambia mwenye duka akanipeleka katika kamera za usalama ndani ya duka hilo nikamuona...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Feb
Dimpoz kutambulisha mpya Marekani
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, anatarajia kuanza kutambulisha nyimbo mpya katika ziara yake nchini Marekani, Februari 13 hadi 15, mwaka huu.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ommy Dimpoz alisema ziara hiyo itakuwa ya kwanza tangu mwaka huu ulipoanza.
“Natarajia kuanza ziara yangu ya kwanza tangu mwaka huu umeanza, nilikwenda Kenya na kufanya kazi moja na Avirl kisha nikarudi nyumbani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mbali na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/diamond-23.jpg)
DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VBl95B5X10*3YG1TtwiiPlA1m9yUxXtAD-M*f2hmaDazbjBUF4GdyCHfkfRQUuM8Ii30IF5n0RLzGD7jGAqprJ/OMMY2.jpg)
OMMY DIMPOZ AFUNGUKIA KUKAMATWA MAREKANI
9 years ago
Bongo517 Oct
Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini
9 years ago
Bongo530 Dec
Exclusive: Ommy Dimpoz aliwahi kulala jela Marekani, hii ni sababu (Video)
![12301302_781657848613350_1077518386_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301302_781657848613350_1077518386_n-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz amewahi kun*ea ndoo za gereza la Marekani.
Ni lini na kwasababu gani? Dimpoz amefunguka kwenye exclusive interview na Bongo5.
“Sikuwahi katika maisha yangu kufikiria kama ipo siku nitalala jela,” anasema. “Nililala jela kabisa na kubadilisha nguo kabisa nikavaa zile za orange, yaani kama Prison Break unavyoiona ile movie,” ameeleza.
Ommy Dimpoz amesema yote hayo yalitokea miezi kadhaa iliyopita alipokuwa ameenda Marekani kutumbuiza.
“Kosa lilikuwa kwamba nilikuwa naenda kwenye...
11 years ago
CloudsFM13 Aug
OMMY DIMPOZ AZITOSA SHOO ZA MAREKANI NA KURUDI BONGO KWA AJILI FIESTA
STAA wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz Kwa Poz hivi karibuni aliondoka Bongo na kuelekea nchini Marekani kupiga shoo mbili, baada ya kumaliza mchongo huo kwa mafanikio makubwa akapata mashavu mengine kadhaa ya kuendelea kupiga shoo pande zile lakini ameamua kuzitosa na kurudi Bongo kwa ajili ya tamasha la #Serengetifiesta 2014 ambayo itafanyika Ijumaa hii ndani ya uwanja wa Kaitaba.
9 years ago
Bongo502 Nov
Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
![12071024_1489877797975917_850313823_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12071024_1489877797975917_850313823_n-94x94.jpg)
11 years ago
CloudsFM05 Aug
OMMY DIMPOZ AKWEA PIPA KWENDA MAREKANI KUWABURUDISHA WATANZANIA WAISHIO HUKO
STAA wa ngoma ya Ndagushima,Omar Nyembo, Mr. Poz Kwa Poz,leo anaelekea nchini Marekani kwa ajili ya Ndagushima Night, shoo ambayo imeandaliwa maalum kwa ajili ya watanzania watakaokuwa wamemaliza mkutano na rais Jakaya Kikwete jijini Houston Marekani.
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma