Dimpoz kutambulisha mpya Marekani
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, anatarajia kuanza kutambulisha nyimbo mpya katika ziara yake nchini Marekani, Februari 13 hadi 15, mwaka huu.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ommy Dimpoz alisema ziara hiyo itakuwa ya kwanza tangu mwaka huu ulipoanza.
“Natarajia kuanza ziara yangu ya kwanza tangu mwaka huu umeanza, nilikwenda Kenya na kufanya kazi moja na Avirl kisha nikarudi nyumbani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mbali na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya
![skylight band 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band-2.jpg)
Meneja wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.
![skylight band](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band.jpg)
Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Jahazi kutambulisha nyimbo mpya Moro
KUNDI bingwa la miondoko ya muziki wa mwambao, Jahazi Modern Taarab litaanza kutambulisha nyimbo zake mpya mwishoni mwa mwezi huu, likianzia mkoani Morogoro. Kwa mujibu wa ratiba ya kundi hilo,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lyh5o0BZWDw/UvulBmM-4EI/AAAAAAAFMns/7I_4YOOpLEc/s72-c/unnamed.jpg)
mfalme siboka kutambulisha wimbo wake mpya mwanza na mbeya mwezi mei
![](http://1.bp.blogspot.com/-lyh5o0BZWDw/UvulBmM-4EI/AAAAAAAFMns/7I_4YOOpLEc/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Bongo508 Oct
Davido kutambulisha video 5 mpya ambazo hakuwahi kuzitoa Jumamosi hii kupitia MTV Base
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Dimpoz aeleza alivyolizwa Marekani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, ameeleza namna alivyoibiwa simu yake ya mkononi akiwa nchini Marekani alikokwenda kwa ziara maalumu ya kimuziki.
Dimpoz alisema baada ya kufanya onyesho la kwanza mjini Texas aliamua kufanya ununuzi katika duka moja kubwa la nguo katika mji huo lakini baada ya muda akajikuta hana simu.
“Niliangalia mfukoni sikuikuta, nikajaribu kuipiga haikuita nilipomwambia mwenye duka akanipeleka katika kamera za usalama ndani ya duka hilo nikamuona...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VBl95B5X10*3YG1TtwiiPlA1m9yUxXtAD-M*f2hmaDazbjBUF4GdyCHfkfRQUuM8Ii30IF5n0RLzGD7jGAqprJ/OMMY2.jpg)
OMMY DIMPOZ AFUNGUKIA KUKAMATWA MAREKANI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/diamond-23.jpg)
DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!
9 years ago
Bongo517 Oct
Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini
9 years ago
Bongo502 Nov
Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
![12071024_1489877797975917_850313823_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12071024_1489877797975917_850313823_n-94x94.jpg)