Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dimpoz kutambulisha mpya Marekani

ommyNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, anatarajia kuanza kutambulisha nyimbo mpya katika ziara yake nchini Marekani, Februari 13 hadi 15, mwaka huu.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ommy Dimpoz alisema ziara hiyo itakuwa ya kwanza tangu mwaka huu ulipoanza.

“Natarajia kuanza ziara yangu ya kwanza tangu mwaka huu umeanza, nilikwenda Kenya na kufanya kazi moja na Avirl kisha nikarudi nyumbani,” alisema Ommy Dimpoz.

Alisema mbali na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya

skylight band 2

Meneja  wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.

skylight band

Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jahazi kutambulisha nyimbo mpya Moro

KUNDI bingwa la miondoko ya muziki wa mwambao, Jahazi Modern Taarab litaanza kutambulisha nyimbo zake mpya mwishoni mwa mwezi huu, likianzia mkoani Morogoro. Kwa mujibu wa ratiba ya kundi hilo,...

 

11 years ago

Michuzi

mfalme siboka kutambulisha wimbo wake mpya mwanza na mbeya mwezi mei

Mfalme wa nyimbo za asili nchini Tanzania anatarajia kutambulisha wimbo mpya wa Engele yange ulioimbwa katika mahadhi ya makabila manne ya kanda ya ziwa mapema mwezi wa Mei 2014. Mfalme Siboka atambatana na kundi lake akianzia jijini Mwanza na kumalizia ziara Mbeya na Iringa.

 

9 years ago

Bongo5

Davido kutambulisha video 5 mpya ambazo hakuwahi kuzitoa Jumamosi hii kupitia MTV Base

Staa wa Nigeria, Davido ana video 5 kwenye maktaba yake ambazo hakuwahi kuzitoa, lakini amepanga kuzitambulisha kwa mashabiki wake Jumamosi hii (Oct.10). Wasanii huwa wana tabia ya kurekodi nyimbo nyingi ambazo baadae huja kuzichuja ili kupata zile kali zaidi za kutoa na zingine kuziweka kwenye album, lakini kuna zingine huwa zinaachwa kabisa endapo kukiwa na […]

 

9 years ago

Mtanzania

Dimpoz aeleza alivyolizwa Marekani

DIMPOZI NA SHILOLENA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, ameeleza namna alivyoibiwa simu yake ya mkononi akiwa nchini Marekani alikokwenda kwa ziara maalumu ya kimuziki.

Dimpoz alisema baada ya kufanya onyesho la kwanza mjini Texas aliamua kufanya ununuzi katika duka moja kubwa la nguo katika mji huo lakini baada ya muda akajikuta hana simu.

“Niliangalia mfukoni sikuikuta, nikajaribu kuipiga haikuita nilipomwambia mwenye duka akanipeleka katika kamera za usalama ndani ya duka hilo nikamuona...

 

11 years ago

GPL

OMMY DIMPOZ AFUNGUKIA KUKAMATWA MAREKANI

Mkali wa miondoko ya Bongo Fleva, Ommy Dimpoz. Stori: Shani Ramadhani
MKALI wa Bongo Fleva, Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ ameibuka na kufungukia ishu iliyozagaa mitandaoni kuwa alikamatwa Marekani. Picha iliyozua utata. Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Dimpoz alisema picha zinazomwonesha akiwa chini ya ulinzi si tukio la kweli bali ni sehemu ya video ya wimbo wake mpya ambayo alikwenda… ...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mwandishi Wetu MAPENZI yanatingisha dunia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia nyota wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuzinguana laivu nchini Marekani, Risasi Jumamosi limevujishiwa na lina mchapo kamili. Chanzo makini kilichoshuhudia sakata hilo lililotokea hivi karibuni nchini Marekani kulipokuwa na hafla ya utoaji wa tuzo za Afrimma...

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini

Baada ya ushindi wa tuzo ya Afrimma 2015, Ommy Dimpoz ali-tease nyimbo mbili tofauti Instagram akiashiria kuwa anakaribia kupakua wimbo mpya. Katika post hizo mr PKP aliandika; “Vipi? Mko Tayari Baada ya Uchaguzi Tuachie MABODY?”, na nyingine “I can’t wait @nahreel on the beat”. Lakini kuna uwezekano kionjo ulichokisikia kisiwe ni cha wimbo utakaotoka kwasababu […]

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo

12071024_1489877797975917_850313823_nOmmy Dimpoz ameshinda tuzo ya African Entertainment Awards zilizofanyika Jumamosi hii huko New Jersey, Marekani. Ommy Dimpoz, Mubenga na DMK wakiwa red carpet Ommy aliyetumbuiza pia kwenye tuzo hizo alishinda kipengele cha People’s Choice Award. Kufuatia ushindi huo, muimbaji huyo aliandika kwenye Instagram, “ Thank you my people for your Votes U made this Possible […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani