Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ELIMU SAHIHI YA KUTIBU GONJWA LINALOITWA WIVU

Tumetoka kwenye msimu wa Valentine’s Day, hiki ni kipindi ambacho kila mmoja anawajibika kuuboresha uhusiano wake. Hata hivyo, ni vizuri kutosahau kuwa wivu ni changamoto nzito ambayo imesababisha uhusiano wa watu wengi kulegea. Wivu ni chachandu, vilevile ni kionjo cha mapenzi. Wakati mwingine ni sumu ya uhusiano, hali kadhalika hutokea kuwa kikwazo cha penzi endelevu. Ni vizuri kulitambua hilo ili ujue jinsi ya kuishi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ELIMU SAHIHI YA KUTIBU GONJWA LINALOITWA WIVU 5

Wakati naanza makala haya, nilieleza kuwa wivu ni chachandu, vilevile ni kionjo cha mapenzi. Wakati mwingine ni sumu ya uhusiano, hali kadhalika hutokea kuwa kikwazo cha penzi endelevu. Ni vizuri kulitambua hilo ili ujue jinsi ya kuishi kwa kuendana na mazingira yanayofaa. Mtu mwenye mafanikio kwenye mapenzi ni yule anayeamini katika saikolojia ya kujitambua. Hapa nikupe msisitizo kuwa ni lazima ujitambue ili uweze kuwa bora...

 

11 years ago

GPL

KIAMA CHA ELIMU SAHIHI YA KUTIBU GONJWA LINALOITWA WIVU-3

Kwa kuendelea na mada yetu, nianze na swali: Una wasiwasi na mahali ambako mwenzi wako yupo? Huna amani na unahisi anakusaliti. Moyo wako umefunikwa na jakamoyo na kila hatua mapigo yanaongezeka kasi au yanashuka. Kimsingi huna sababu ya kuwa hivyo. Usiishi kwa dhana, ila simamia vitu vinavyoonekana. Mawasiliano ni njia bora kabisa ya kudhibiti wivu. Mnapozungumza mara kwa mara au ‘kuchati’ kwa SMS, Facebook au...

 

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI aliyelamba tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike katika Tamasha la Zanzibar Festival Film ‘ZIFF’ mwaka huu, Esha Salim Buheti hali yake siyo nzuri na anahitaji maombi ili apone kutokana na kusumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi. Mwigizaji, Esha Salim Buheti akiwa hoi kitandani. Akizungumza na Ijumaa lililokwenda kumjulia hali katika Hospitali ya TMJ iliyopo Mikocheni jijini Dar,...

 

11 years ago

Mwananchi

Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa

Watakombolewa na Ulimwengu mzima unatambua kwamba hakuna nchi iliyowahi kuendelea bila wananchi wake kuwa na elimu. Maendeleo yote yametokana na elimu sahihi iliyojaa maarifa, ubunifu, uwezo mkubwa wa kufikiri na kuvumbua dhana mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakombolewa na elimu sahihi siyo siasa

Ulimwengu mzima unatambua kwamba hakuna nchi iliyowahi kuendelea bila wananchi wake kuwa na elimu.

 

9 years ago

Mwananchi

MAKALA: Dk Ndalichako ni mtu sahihi Wizara ya Elimu

Mipango mingi imepangwa, ukiwamo ule wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) lengo likiwa ni kuhakikisha nchi inapata mafanikio katika sekta mbalimbali.

 

11 years ago

GPL

ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE SAHIHI -2

BILA shaka wapenzi wasomaji wangu mtakuwa wazima wa afya njema na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku kama kawaida. Kama una mushkeli kidogo, usijali, mambo yatakuwa sawa. Rafiki zangu, naandika mada hii nikiwa hapa Singida. Bado tunaendelea na somo letu ambalo lazima nikiri kuwa lina changamoto nyingi sana katika kuelewa. Ndugu zangu, najua ni somo gumu kidogo kueleweka lakini tutaenda sawa. Subiri hapohapo. Wiki iliyopita...

 

9 years ago

StarTV

Madiwani watakiwa kupata elimu sahihi ya utendaji

Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie ametaka madiwani kupewa elimu sahihi juu ya mamlaka yao kiutendaji kwa lengo la kufahamu nafasi hiyo hatua itakayowawezesha kuwatumikia wananchi kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo.

Akizungumza wakati wa kukabidhi vyeti kwa madiwani 37 wa jimbo la Geita na Busanda amesema mara kadhaa kumekuwa na muingiliano wa majukumu baina ya watendaji na madiwani hatua inayoleta mkwaruzano unaoathiri shughuli za kimaendeleo hivyo ni vyema wakapewa elimu hiyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana

DSC_0084

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani