ELIMU SAHIHI YA KUTIBU GONJWA LINALOITWA WIVU 5
![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMkSdiIA6uqkMg8ab3ZcCUkbixlCujgStNrSIM2XX8hJZoWmTsMR0zS1HxoIillPi3Ll0YXBdhGV63onlL0DVvvq/coupleunhappyblack.jpg?width=650)
Wakati naanza makala haya, nilieleza kuwa wivu ni chachandu, vilevile ni kionjo cha mapenzi. Wakati mwingine ni sumu ya uhusiano, hali kadhalika hutokea kuwa kikwazo cha penzi endelevu. Ni vizuri kulitambua hilo ili ujue jinsi ya kuishi kwa kuendana na mazingira yanayofaa. Mtu mwenye mafanikio kwenye mapenzi ni yule anayeamini katika saikolojia ya kujitambua. Hapa nikupe msisitizo kuwa ni lazima ujitambue ili uweze kuwa bora...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIHy0boDZreXk9jypNEKV5Q8CT8PG05G6ef51s4FBoMpci0cj1zgL-mrdTmobp2sBlZ4m4u7QAOMGqKz0UZfLPmW/elimu.jpg?width=650)
ELIMU SAHIHI YA KUTIBU GONJWA LINALOITWA WIVU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt60ByaF5M94wD1o1pLtDs11uLiqbB6nGr3H*PY4a7bDELr5EQhDKSPaWGS3DO0aldLvgVsMgG51FScQ*VX1Vt1N-/xxlv.jpg?width=650)
KIAMA CHA ELIMU SAHIHI YA KUTIBU GONJWA LINALOITWA WIVU-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdbMsFFhLM6YfJhJU76ebI3g3OeZFFe82Eg-f26OySkc5-iU4kHo6dYciDy46lYeSBHNHayoaRtEu36YR-co42Wy/buheti.jpg)
ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Watakombolewa na elimu sahihi siyo siasa
9 years ago
Mwananchi26 Dec
MAKALA: Dk Ndalichako ni mtu sahihi Wizara ya Elimu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK93ja1xnSkJ8GQ6qM8cdEYFQ1RWZwiTw15VZ-Yof0uw6GYSw*P4w0cHd1I6aU1NBmmCm0e6K8PV2gBigUgxYb*P/MAHABA.jpg?width=650)
ELIMU, MAFANIKIO KIKWAZO KUPATA MKE SAHIHI -2
9 years ago
StarTV04 Nov
Madiwani watakiwa kupata elimu sahihi ya utendaji
Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie ametaka madiwani kupewa elimu sahihi juu ya mamlaka yao kiutendaji kwa lengo la kufahamu nafasi hiyo hatua itakayowawezesha kuwatumikia wananchi kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vyeti kwa madiwani 37 wa jimbo la Geita na Busanda amesema mara kadhaa kumekuwa na muingiliano wa majukumu baina ya watendaji na madiwani hatua inayoleta mkwaruzano unaoathiri shughuli za kimaendeleo hivyo ni vyema wakapewa elimu hiyo...
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana
Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...