FAHAMU CD4 ZINAVYOFANYA KAZI MWILINI
![](http://api.ning.com:80/files/MMaj31ebAY84lNABC4xzvPERqzE3WhUMhhxIy2HdCTkXPzh6PB3-qrML-4CZwuPlxxsaJQvEhQingoRrtgup2bY-bNz27w7D/nri952f1.gif?width=650)
Wiki iliyopita nilieza kuhusu hatua za mtu kuwa na Ukimwi na kutaja CD4, wengi wamenipigia simu kutaka nifafanue hicho ni nini kitaalam.CD ni kifupi cha maneno ya kitaalam, yaani Cluster of Differentiation. Hii ni aina mojawapo ya kiasili kilichoundwa kwa protini na mafuta (yaani glycoprotein) ambacho kinapatikana juu ya uso wa seli nyeupe za damu zijulikanazo kama Thelper Cells, Regulatory T-Cells, Monocytes, Macrophages na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOgz3CpOAdOil6QDzErHC0li4kxB9Nu5jiMN190YvDzV8cPDeytz-pEyY0Ae4Gpg0aS-9ngOURGHXP6hhtRAP3K/hiv.jpg?width=650)
FAHAMU HATUA TANO ZA HIV MWILINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsum49sUPaS*egYLGDEI-Mrj7TOJt-6I42LTliNHsZdJZHVMo5*XYOgHvGhPp2J-*43Q7dyFwuHd4v6IvB9Quo*Uh/M_Id_419107_AIDS.jpg?width=650)
FAHAMU HATUA SITA ZA HIV MWILINI-2
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Fahamu aina za upungufu wa damu mwilini-2
Katika makala ya wiki iliyopita tuliangazia tatizo la upungufu wa damu mwilini wengine huita Anaemia ambalo ni jina la jumla linalotumiwa kubainisha aina mbalimbali za upungufu wa damu mwilini.
Tukasema kiwango cha kawaida cha chembe nyekundu za damu (Hb) katika mwili wa binadamu ni kati ya gramu 12 mpaka 14 kwa kila milimita ya damu, zikiwa pungufu ya hapo mtu huyo anakuwa na tatizo la upungufu wa damu.
Tulitaja aina za upungufu wa damu kama vile Pernicious Anaemia na Aplastica Anaemia....
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wbN5pHKFsKs/VlxhZzAr0ZI/AAAAAAAIJUY/DBkvKgODlxQ/s72-c/49f5c4e9-d42b-4861-9018-6157a33fd35f.png)
FAHAMU KUHUSU MFUMO WA NGUVU ZA KIUME NA JINSI UNAVYO FANYA KAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wbN5pHKFsKs/VlxhZzAr0ZI/AAAAAAAIJUY/DBkvKgODlxQ/s1600/49f5c4e9-d42b-4861-9018-6157a33fd35f.png)
NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC ni duka linalo uza dawa mbalimbali za asili. Tunayo dawa asilia iitwayo JIKO ambayo inatibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume. Dawa hii ni ya asili kabisa, isiyo na...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Fahamu jinsi mawasiliano bora yanavyoweza kuepusha migogoro na migomo sehemu za kazi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HYHf5SgZ8mM/VkGumaFjVsI/AAAAAAAAUks/HtZAlXUTZMA/s72-c/recruitme.jpg)
FAHAMU JINSI #RECRUITME INAVYOWEZA KUKUPA UJUZI UTAKAOKUSAIDIA KUPATA KAZI UITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HYHf5SgZ8mM/VkGumaFjVsI/AAAAAAAAUks/HtZAlXUTZMA/s640/recruitme.jpg)
Vijana wengi wa Tanzania wana ujuzi waliopata kutokana na mafunzo mbalimbali, lakini baadhi yao kushindwa kutumia...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Faida ya kutumia ARV kabla CD4 kupungua
NI kawaida katika nchi
zinazoendelea kwa watu waishio na virusi vya ukimwi (VVU) kutoanzishiwa
matibabu ya dawa za kufubaza virusi (ARV) hadi pale kinga za mwili (CD4) zinapopungua na kufikia seli 350 kwa kila milimita moja ya ujazo.
Nchini Tanzania, watu wenye maambukizi ya VVU na wagonjwa wa ukimwi walikuwa hawaanzishiwi dawa za ARV hadi kinga
zilipokuwa zimepungua kufikia seli 200 kwa milimita moja ya ujazo kwa hofu kuwa, kuanzisha matibabu mapema kunafanya matumizi ya ARV kuwa ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AtakEkre-ow/U93K-jLxw0I/AAAAAAAF8i0/j4Dvl5s2MfE/s72-c/unnamed+(10).jpg)
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKABIDHI MACHINE YA KUHESABU CD4 ILIYOIBIWA APRIL 2012 WILAYANI MOMBA, TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-AtakEkre-ow/U93K-jLxw0I/AAAAAAAF8i0/j4Dvl5s2MfE/s1600/unnamed+(10).jpg)
MHE BALOZI GRACE MUJUMA AKIMKABIDHI MACHINE DR. NICOLAUS MBILINYI MGANGA MKUU WA WILAYA (DMO) YA MOMBA ILIYOKUWA IMEIBIWA MWAKA 2012. KUTOKA KUSHOTO NI DEREVA ALIYEKUJA KUCHUKUWA MACHINE, DR LAWRENCE MWAMPASHI (DISTRICT AIDS CONTROL COORDINATOR)...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Kemikali mwilini mwako II
PUFF, ni neno la kiingereza likimaanisha aidha ‘…kuvuta hewa kwenda ndani ya mwili wako na hata kutoa nje wakitumia sentensi isemayo "…puff out". Nimeliandika hivyo kwani limezoeleka kwa wavutaji wengi...