Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fujo Bungeni

MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, jana alinusurika kupigwa na wajumbe wenzake wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya mwanasheria huyo kupiga kura ya wazi ya “hapana,” kukataa rasimu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

BREAKING NEWS:Spika Makinda akatisha Bunge kunusuru fujo Bungeni Dodoma leo

8517823001

Spika wa Bunge, Anne Makinda  saa moja iliyopita mjini Dodoma, ameamua kukatisha kikao cha 19 cha Bunge kilichokuwa kikiendelea mjini humo kufuaatia Wabunge kusimama  kwa kumshinikiza Waziri Mkuu atoe kauli ya juu ya Zoezi la uandikishaji wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura  lililokuwa likiendelea Mkoa wa Njombe, huku likikabiliwa na changamoto nyingi, ikiwamo mashine za Biometric Voter Registration (BVR), kushindwa kufanya kazi ipasavyo na matatizo juu ya zoezi hilo.

maji-mnyika

 

9 years ago

Habarileo

Samia akemea fujo

MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu amewasihi vijana kuacha mpango wa kufanya fujo katika kipindi cha kampeni na hata siku ya kupiga kura.

 

10 years ago

GPL

NJEMBA YAMFANYIA FUJO WASTARA

Stori: Gladness Mallya Mkwara mbuzi! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya njemba mmoja ambaye hakufahamika kujitokeza na kumpiga mkwara asiendelee na shughuli za uzinduzi wa filamu yake. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma Wastara akizindua filamu yake ya Last Decision. Tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita wakati Wastara akizindua filamu yake ya Last Decision katika mitaa...

 

9 years ago

GPL

SHAROBARO AMFANYIA FUJO DK. MAGUFULI...

Richard Bukos, Kilimanjaro Wahenga walisema utakiona cha mtema kuni! Ndivyo ilivyomtokea kijana anayedaiwa ndiye sharobaro maarufu eneo la Himo katika Jimbo la Vunjo, Kilimanjaro aliyejitambulisha kwa jina la Steven Charles baada ya kumfanyia fujo mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli katika jimbo hilo wakati akinadi sera zake. Kijana huyo akiwa mikononi mwa dira. Katika tukio hilo...

 

11 years ago

GPL

WANAOFANYA FUJO, UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linalaani vikali fujo na uharifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini. Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh....

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars

Mashabiki wa soka jana walizua tafrani kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam baada ya kujaribu kuwatimua wachezaji wa Taifa Stars waliofika uwanjani hapo kwa mazoezi ya kujiandaa kuwakabili Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan 2016).

 

11 years ago

GPL

JOHARI APIGA MITUNGI KWA FUJO

Stori: Shani Ramadhani
STAA wa kitambo kwenye filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amenaswa akipiga mitungi kwa sana ikiwa ni sehemu ya kufurahia uongozi mpya wa Klabu ya Bongo Movie Unity. Blandina Chagula ‘Johari’. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar ambapo uchaguzi wa safu mpya ya uongozi wa klabu hiyo ulimalizika na matokeo kuwatangaza...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi kudhibiti watakaoleta fujo Jumapili

JESHI la Polisi nchini limewaondolea hofu wananchi juu ya kuwepo kwa vurugu na vitendo vya uvunjifu wa amani siku ya Uchaguzi Mkuu Jumapili wiki hii; na kuonya kuwa yeyote aliyejipanga kuvuruga uchaguzi, atadhibitiwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Serikali ijitathmini Warioba kufanyiwa fujo

BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), mkoani Morogoro, limeitaka serikali na vyombo vyake vya dola nchini kujitathimini juu ya utendaji wake kutokana na kufumbia macho kufanyiwa fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani