Fujo Bungeni
MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, jana alinusurika kupigwa na wajumbe wenzake wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya mwanasheria huyo kupiga kura ya wazi ya “hapana,” kukataa rasimu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
BREAKING NEWS:Spika Makinda akatisha Bunge kunusuru fujo Bungeni Dodoma leo
Spika wa Bunge, Anne Makinda saa moja iliyopita mjini Dodoma, ameamua kukatisha kikao cha 19 cha Bunge kilichokuwa kikiendelea mjini humo kufuaatia Wabunge kusimama kwa kumshinikiza Waziri Mkuu atoe kauli ya juu ya Zoezi la uandikishaji wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura lililokuwa likiendelea Mkoa wa Njombe, huku likikabiliwa na changamoto nyingi, ikiwamo mashine za Biometric Voter Registration (BVR), kushindwa kufanya kazi ipasavyo na matatizo juu ya zoezi hilo.
9 years ago
Habarileo01 Oct
Samia akemea fujo
MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu amewasihi vijana kuacha mpango wa kufanya fujo katika kipindi cha kampeni na hata siku ya kupiga kura.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7mzlLraMCX-0fQSVIOG-kZq*xEpPGV1*lkSUHXDcigerRHyb-w*BBtn8HbnfqXbel*m*2TMyNQPxHhmNF3oGHKr/wastara.jpg)
NJEMBA YAMFANYIA FUJO WASTARA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SryUG9vl6-26Ayd5xkkw9-cKYGxzGfJkO3uCa*k318inRebc2FzUu1mM5AyMrJXM*Z1M96jj-NAJlGsU8iEzpue282b4*-GG/sharo.jpg?width=650)
SHAROBARO AMFANYIA FUJO DK. MAGUFULI...
11 years ago
GPLWANAOFANYA FUJO, UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--UtKuQaiXHUc1X4OLrQSKNBRmFDyeeh8mt2GzNeGYyGU1yEjdE5kOScgK1pH4disTNUgmJHCwkXzgterf9P9so/johari.jpg?width=650)
JOHARI APIGA MITUNGI KWA FUJO
9 years ago
Habarileo22 Oct
Polisi kudhibiti watakaoleta fujo Jumapili
JESHI la Polisi nchini limewaondolea hofu wananchi juu ya kuwepo kwa vurugu na vitendo vya uvunjifu wa amani siku ya Uchaguzi Mkuu Jumapili wiki hii; na kuonya kuwa yeyote aliyejipanga kuvuruga uchaguzi, atadhibitiwa.
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
BAVICHA: Serikali ijitathmini Warioba kufanyiwa fujo
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), mkoani Morogoro, limeitaka serikali na vyombo vyake vya dola nchini kujitathimini juu ya utendaji wake kutokana na kufumbia macho kufanyiwa fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa...