Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harufu ya ufisadi yanukia barabara ya mita 876

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imepanga kuwatuma wataalamu wa uhandisi wa ujenzi wilayani Kilosa, mkoani Morogoro kufanya ukaguzi na tathmini ya kubaini kiwango cha ubora wa ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa mita 876 iliyogharimu Sh milioni 366.2 na ikianza kuharibika ndani ya miezi sita tangu ikamilishwe mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Taasisi zenye harufu ya ufisadi zatajwa

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Dk. Matern Lumbanga, akizungumza na waandishi wa habari
Taasisi 13 za serikali nchini, ikiwamo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, zimekumbwa na kashfa ya kuwa na viashiria vya rushwa, huku 19 zikiwa zimefanya malipo yenye shaka ya thamani ya Sh. bilioni 1.7 katika manunuzi ya umma kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

Pia, kampuni 19 zimefungiwa kushiriki katika zabuni kwenye taasisi za umma nchini kutokana na madai ya kushindwa kutekeleza...

 

9 years ago

MillardAyo

DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!!

Ile kauli ya Rais kuhakikisha anapunguza matumizi yasiyo yalazima kwa Serikali imeendelea kuchukua headlines, pia tumeshuhudia baadhi ya viongozi wakisimamishwa kazi kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma Leo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amewageukia wakandarasi wa barabara za Manispaa yake ambao imeonekana wametumia kiasi cha fedha za umma kinyume na makubaliano. […]

The post DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!! appeared first on...

 

9 years ago

StarTV

Kaya 5,876 zanufaika Tarime na TASAF

Tarime ni miongoni mwa wilaya 161 Tanzania zinazotekeleza mpango wa kunusuru kaya Maskini kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF ambapo kaya 5,876 zimenufaika na mfuko huo kwa asilimia kubwa.

Kiasi cha shilingi milioni 234.6 zimetumika kwa ajili ya malipo ya walengwa na kusaidia baadhi ya kaya hizo kufanikiwa kupeleka watoto wao shule.

 

Wakiongea na Mkuu wa Mkoa wa mara Kapten Mstaafu Asseri Msangi Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Gwitiryo na Mogabiri wilayani tarime ambao wamenufaika na...

 

9 years ago

Habarileo

Magogo 5,876 ya mninga maji yakamatwa Mbeya

MAGOGO 5,876 ya mti aina ya mninga maji yamekamatwa katika mikoa ya Mbeya, Njombe na Rukwa kutokana na operesheni maalumu inayofanywa na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) tangu Desemba 5, mwaka huu. Mkurugenzi wa TFS, Mohamed Kilongo alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari wakati akiwaonesha magogo yaliyokamatwa na kuhifadhiwa katika Kituo cha Polisi cha Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya.

 

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa feki alikuwa na bei ya juu kuliko wote, Aliruhusiwa na kufanyia marekebisho zabuni yake kinyemelaMadudu zaidi yameendelea kuibuka katika sakata la mabehewa feki 274 yaliyonunuliwa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), na sasa imebainika kuwa kampuni iliyopewa zabuni ya kuleta mabehewa hayo ndiyo iliyokuwa ya bei ya juu zaidi kuliko kampuni 10 zilizokuwa zimeomba na haikuweka dhamana yoyote kama sheria ya manunuzi inavyotaka.

Aidha, imebainika pia kuwa ya...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

9 years ago

Raia Mwema

‘Harufu’ ya urais ilianzia Kahama

HADI saa nne za asubuhi ya Oktoba 26 mwaka huu, mgombea wa ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),

Waandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili harufu mbaya miguuni

Miguu kutoa harufu mbaya ni tatizo sugu linalowakabili baadhi ya watu katika jamii, wengi wakiwa wanaume.

 

10 years ago

BBCSwahili

Harufu ya Choo yalazimu ndege ya BA kutua

Ndege moja ya shirika la ndege la British Airways imelazimika kutua kufuatia harufu mbaya iliyokuwa ikitokea kwa choo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani