Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Helikopta yadunguliwa na kuua 9 Ukraine

Maafisa nchini Ukraine wamesema waasi wamelipua helikopta iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa serikali na kuwauwa watu tisa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kijeshi ya Ukraine yadunguliwa

Waziri wa Ulinzi nchini Ukraine amesema kuwa mojawapo ya ndege zake za kijeshi za kubeba mizigo imedunguliwa.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Ndege ya Malaysian Airlines MH17 yadunguliwa na kuuwa abiria wote 295

Ndege ya abiria ya shirika la Malaysian Airlines yenye namba MH17 aina ya boeing 777 imeanguka katika eneo la mpaka wa Urusi na Ukraiane, na kusababisha vifo vya abiria wote 295 waliokuwemo kwenye ndege hiyo. Mabaki ya ndege hiyo katika eneo la ajali Ndege hiyo iliyokuwa ikitokea Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur inadaiwa kuwa imedunguliwa na […]

 

11 years ago

Mwananchi

Helikopta yazua gumzo Kalenga

Wakazi wa Kijiji cha Ndiwili, Kata ya Magulilwa jimboni Kalenga, juzi walifunga shughuli zote katika kijiji hicho na kujitokeza kwa wingi kushuhudia mkutano wa Chadema ambao viongozi wake walitua katika kijiji hicho kwa kutumia helikopta.

 

10 years ago

GPL

HELIKOPTA YA GWAJIMA YAZINDULIWA LEO

Rubani wa helikopta hiyo akijiandaa kuirusha helikopta hiyo. Helikopta ikiwa hewani. Hapa ikijiandaa kutua. Helikopta ya Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima imezinduliwa leo hii katika viwanja vya Tanganyika Packers,…

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli akataa kutumia helikopta

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema katika sehemu kubwa ya kampeni yake, atatumia zaidi usafiri wa barabara ili apate fursa ya kuzijua kwa karibu kero za wananchi katika maeneo mengi ya nchi.

 

9 years ago

Habarileo

Chadema vijijini kwa helikopta

KATIKA jitihada za kuhakikisha kuwa Chadema kupitia vyama vinayounda Ukawa inashinda majimbo yote mkoani Rukwa kwa nafasi ya ubunge, wamejipanga kutumia usafiri wa helikopta kwa siku nne mfululizo ili kuwafikia wapigakura walioko vijijini.

 

11 years ago

Habarileo

Chadema kurusha helikopta 10, kuandamana

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), John Heche, amesema chama hicho kinatarajia kurusha angani chopa 10 na kufanya maandamano nchi nzima kuishinikiza Serikali kufanya marekebisho ya Daftari la Kudumu la Wapigakura kabla ya zoezi la kura ya maoni ya Katiba mpya kuanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Helikopta ya Ndesamburo yazua sokomoko

Kada wa CCM Buni Ramole, amejipalia mkaa kutokana na kauli yake kwamba helikopta ya Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ni mbovu na ingeweza kumuua.

 

9 years ago

Habarileo

Helikopta iliyomuua Filikunjombe ni ya Kalonzo

HELIKOPTA iliyoanguka na kusababisha vifo vya watu wanne akiwamo mgombea ubunge wa jimbo la Ludewa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe na rubani wake, Kapteni William Silaa, ilikuwa mali ya Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Kalonzo Musyoka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani