Israel:Aliyemkosoa Obama kufutwa kazi
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ataubadilisha uteuzi wa mkurugenzi mpya wa mawasiliano kufuatia tamko la akimkosoa rais Barrack Obama
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Zeidan akanusha kufutwa kazi
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Taasisi za dini kufutwa
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imetishia kuzifutia usajili taasisi mbalimbali za kidini, endapo zitabainika kukiuka sheria ya vyama vya kijamii kwa kutoa matamko na kushawishi waumini wao kutekeleza matakwa ya kisiasa.
Kauli ya Serikali, imekuja siku chache baada ya viongozi wa Jukwa la Kikristo Tanzania (PCT) kutoa tamkoa la kuwataka waumini wao kuipigia kura ya hapana Katiba inayopendekezwa, wakisema imeandaliwa kwa njia ya ubabe.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam...
10 years ago
Mtanzania25 Apr
CUF yakubali kufutwa
NA AGATHA CHARLES
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekubaliana na uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi wa kukifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwa sababu hakiko tayari kuvunja vikundi vyake vya ulinzi vinavyojulikana kwa majina ya Blue Guard na White Guard.
Kimesema kwa sasa licha ya kuwepo zuio la kuvitumia vikundi hivyo kutoka kwa Jaji Mutungi na Mkuu wa Jeshi la wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kitaendelea kuvitumia vikundi hivyo katika ziara zake za kichama...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-zyJOS-3-wbo/VS01KZpzWkI/AAAAAAAACEs/5erLglivxY8/s72-c/CHIKAWE-640x480.png)
Taasisi za dini kufutwa
Ni zilizoshindwa kuwasilisha mapato na matumizi Zingine zajiingiza kwenye siasa kinyume cha sheria
NA MWANDISHI WETU
TAASISI za dini ziko hatarini kufutwa katika orodha ya usajili kutokana na kuvunja sheria kwa kushindwa kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hesabu za fedha kwa mwaka, imeelezwa.
Kazi ya kuzifuta taasisi hizo, inatarajia kufanyika Jumatatu ijayo, baada ya kukamilisha uchambuzi wa taasisi hizo na kwamba itaanzia jijini Dar es Salaam na baaadaye mikoani.
Waziri wa Mambo ya...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Ukawa sasa hatarini kufutwa
10 years ago
Habarileo22 Feb
Miliki maeneo ya madini kufutwa
SERIKALI imetangaza kuanza kufuta umiliki wa maeneo yaliyotelekezwa na wachimba madini kote nchini, ikiwa ni pamoja na kunyang’anya leseni zilizoombwa na wachimbaji ambao wameshindwa kuzilipia.
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Hifadhi zilizopoteza hadhi kufutwa
SERIKALI imesema inafanya utaratibu wa kuzifuta hifadhi zote za taifa ambazo zimepoteza hadhi ya kuwa hifadhi na kuyagawa maeneo hayo kwa wafugaji. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,...