Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JE NI TIBA ZIPI NNE AMBAZO WHO INAZIFANYIA UTAFITI KUTIBU KORONA?


Kufikia tarehe 23 mwezi machi , zaidi ya watu 350,000 walikuwa wamembukizwa virusi vya corona katika mataifa 170 duniani huku watu 16000 wakiripotiwa kufariki. ''Mpango mahsusi wa kuokoa maisha'', hivi ndivyo shirika la afya duniani WHO linavyoelezea juhudu zake mpya za kukabiliana na virusi vya corona. Kufikia tarehe 23 mwezi machi , zaidi ya watu 350,000 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona katika mataifa 170 duniani huku watu...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je ni tiba zipi nne ambazo WHO inazifanyia utafiti kutibu virisi vya corona?

Shirika la afya duniani lilianzisha mpango wa mshikamano 'solidarity' ambao unahusisha utafiti ambapo mataifa kumi yatafanyia uchunguzi dawa nne zinavyoweza kutibu covid 19

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona

Dawa ya kutibu malaria aina ya Hydroxychloroquine sio tiba ya Covid-19, utafiti wa Oxford umesema.

 

11 years ago

Mwananchi

Kingunge ataka utafiti tiba asilia

Serikali imetakiwa kutoa fedha kwa ajili ya utafiti wa dawa asilia ili kusaidia jamii kukabiliana na maradhi.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUWEKEZA KATIKA UTAFITI WA TIBA ASILI

Mkurugenzi wa Tasisi ya Utafiti ya Ifakara,Salim Abdullah akisaini makubaliano ya kuendeleza utafiti  tasisi hiyo kulia ni Mkuu wa Taasisi ya Kinga na wa China,Dk.Ning Xiao  katika hafla iliypfanyika leo jijin Dar es Salaam.(Picha Emmanuel Massaka). WAZIRI wa Afya  na Ustawi wa Jamii,Dk.Seif Rashid akizungumza hafla ya makubaliano na Serikali ya watu wa China ( Kulia),Naibu Waziri  na Kamisheni ya Taifa ya Afya na Uzazi wa Mpango,na  Usimamizi wa Tiba Asili iliyofanyika leo jijini Dar es...

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete Afungua Hospitali ya Utafiti na Tiba Dodoma

.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,na Rais wa Awamu ya Tatu Mh.Benjamin William Mkapa wakikata utepe kufungua rasmi la Hospitali ya utafiti wa Magonjwa iliyojengwa katika chuo kikuu cha Dodoma na kupewa jina The Benjamin Mkapa Ultra Modern Hospital.Hospitali hiyo itatumika kwa mafunzo,tafiti na tiba ya magonjwa makubwa hususan figo na moyo. (picha na Freddy Maro)Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi ufunguo wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa ya The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la 28 la mwaka la Wanasayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR)

1

 Makamu  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR). Kongamano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, limeandaliwa na Taasisi hiyo ya (NIMR). (Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua pazia kuashiria kuzindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) watembelea Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultramodern Hospital”!!

DSC_2982

Baadhi ya wanachama wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) wakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maafisa  wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa  na Tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital” iliyopo ndani ya viunga vya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM. Ziara hiyo imefanyika jana Desemba Mosi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

[DODOMA] Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) kipo katika mkutano wake mkuu wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi

Utafiti wa awali ulionesha kwamba dawa za kutengenezwa nyumbani zinaweza kusaidia kupuguza makali ya dalili za virusi vya corona kama ilivyo kwa homa.

 

11 years ago

Mwananchi

Zipi sababu za watoto kuharibikiwa kitabia?

Natumaini wajukuu zangu ni wazima wa afya, kama wapo baadhi yenu wanaougua nawaombea kwa Mungu mpone, ili mrejee katika masomo yenu. Leo wajukuu zangu tunajadili mada inayowagusa watoto wenzenu katika sehemu tofauti za nchi yetu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani