Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jokate aingia mkataba na kampuni ya Rainbow Shell Craft ya China

Mjasialiamali na mwanamitindo,Jokate Mwegelo, ameingia mkataba na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya nchini China ambayo inayomuingizia mabilioni ya fedha.
Jokate amesema amefurahishwa kuingia kwenye mkataba na kampuni hiyo kwani mbali na masuala ya urembo pia kupitia brand yake anatarajia kuongeza ajira kwa akina mama kwani kitajengwa kiwanda ambacho kitatoa ajira kwao.

“Hii ni fursa kubwa kwetu Tanzania, nawashukuru sana vijana wenzangu ambao tulikaa na kubuni brand ya Kidoti, leo imenipa...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIDOTI KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA RAINBOW SHELL CRAFT YA CHINA

Jokate Mwegelo akisoma hotuba kwa waandishi wa habari(hawapo pichani). Jokate akionyesha moja ya bidhaa inayozalishwa na kampuni hiyo.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichosema Diamond Platnumz baada ya Jokate kuingia mkataba wa kibiashara na kampuni toka CHINA

Baada ya mwanadada Jokate kupitia kampuni yake ya KIDOTi kuingia mkataba mnono wa bidhaa zake na kampuni ya wachina, msanii Dimaond Platnumz amefunguka haya yafuatayo…

 

“..Kama muekezaji wa nje ameweza kuona Potential na kumuamini kidoti na kuamua kuwekeza kwenye bidhaa zake...kwanini sisi tusimuamini???.. nafikiri huu ni wakati muafaka wa kuanza kuthamini na kusupport brand zetu za nyumbani.. Hongera sana Kate... sema sasa ututolee bidhaa nzuri kweli, sio tena ukale hela za mchina wa...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond aingia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri ya Nigeria, Upfront & Personal

11313607_1734146243483565_1852611113_n

Diamond Platnumz ameiangia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri (management consultants) ya Nigeria, Upfront & Personal.

11313607_1734146243483565_1852611113_n

Upfront and Personal ni kampuni kubwa iliyojikita katika masuala ya mahusiano ya umma (public relations), media buying, celebrity endorsement na event management.

“DONE DEAL!!! you know how it is when you see Mr @pauloo2104 dollarmoneybagboomgun Cc @sallam_sk @ubifranklintriplemg #Nigeria,” ameandika Diamond kwenye picha aliyoweka Instagram ikimuonesha akisaini...

 

10 years ago

Vijimambo

JOKATE KIDOTI ASAINI MKATABA WA SH. BILIONI 8.5 NA KAMPUNI YA KICHINA

Jokate Mwegelo akizungumza katika hafla hiyo.Afisa Mtendaji mkuu wa kampuni ya Rainbow Shell Craft Company Limited (CEO), Deng Guoxun akuzungumza katika hafla hiyoJokate na Guoxun wakionyesha mikataba baada ya kusaini.Jokate na Guoxun wakibadilishana mikataba baada ya kusainiJokate akiteta jambo na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa kwenye hafla hiyo.Wageni mbalimbali waalikwa wakishughudia hafla hiyoMeya wa Manispaa ya Ilala akiteta jambo na Mbunge wa Viti maalum (CCM) Mariam Kisangi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jokate asaini mkataba wa thamani ya Sh8.5 bilioni na kampuni ya Kichina

1

Jokate Mwegelo akizungumza katika hafla hiyo.

Na Mwandishi wetu

Mbunifu mavazi, Miss Tanzania wa namba mbili 2006,  mwanamuziki na muigizaji wa filamu, Jokate Mwegelo amesaini makubaliano yenye thamani ya Sh8.5 billion na kampuni ya Kichina,  Rainbow Shell Craft Company Limited kwa ajili ya kuzalisha na kuuza bidhaa mbalimbali za lebo yake ya Kidoti.

Makubaliano hayo yalisainiwa jana kwenye hotel ya  Serena baina ya Jokate na Afisa Mtendaji mkuu wa kampuni ya Rainbow Shell Craft Company...

 

10 years ago

Michuzi

Jokate asaini mkataba wa thamani ya Sh8.5 bilioni na kampuni ya Kichina

Mbunifu mavazi, Miss Tanzania wa namba mbili 2006,  mwanamuziki na muigizaji wa filamu, Jokate Mwegelo amesaini makubaliano yenye thamani ya Sh8.5 billion na kampuni ya Kichina,  Rainbow Shell Craft Company Limited kwa ajili ya kuzalisha na kuuza bidhaa mbalimbali za lebo yake ya Kidoti.Makubaliano hayo yalisainiwa leo kwenye hotel ya  Serena baina ya Jokate na Afisa Mtendaji mkuu wa kampuni ya Rainbow Shell Craft Company Limited  (CEO), Deng Guoxun. Akizungumza katika hafla hiyo,  Jokate...

 

10 years ago

Michuzi

Mgawe akiri kuusaini Mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd (CCCCL)

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Ephraim Mgawe  amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa aliusaini mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd (CCCCL).
Mgawe amekiri kuusaini mkataba huo wa kibiashara leo wakati akisomewa maelezo ya awali (PH)  na Wakili wa Serikali, Pius Hilla mbele ya Hakimu Mfawidhi  wa mahakama hiyo, Isaya Arufani.
Akisomewa maelezo ya awali yanayohusiana na shtaka  la...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA TINGATINGA IMEINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA BRICOLEUR HOLDINGS Co.LIMITED YA JAPAN.

Na Zainabu Hamis,Globu ya Jamii. CHAMA Cha Wasanii wa uchoraji picha aina ya Tingatinga imeingia mkataba wa miaka tano (5) na kampuni ya Bricoleurholdings Co.Limited ya nchini Japan, kwa ajili ya kuwatafutia soko nchini Japan 
Makabidhiano ya Mkataba huo yamefanyika leo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. 
Mwakilishi wa Kampuni ya Bricoleurholdings Co.Limited, Shoji Tsuchiya amemkabidhi mkataba huo Mwenyekiti wa Chama Cha Tingatinga, Zack Chimwanda, amesema kuwa kazi hii ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Jokate alamba mkataba Sh8.5 bil

Mbunifu wa mavazi, Miss Tanzania namba mbili 2006, Jokate Mwegelo ameingia mkataba wenye thamani ya Sh8.5 bilion na kampuni ya China, Rainbow Shell Craft Company Limited kwa ajili ya kuzalisha na kuuza bidhaa mbalimbali za lebo yake ya Kidoti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani