Kanuni zawatishia nyau wanahabari
Kanuni ya 77 ya Bunge la Katiba inaweza kutumiwa dhidi ya baadhi ya waandishi wa habari ambao waliandika habari za wajumbe kukosa posho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanahabari washauriwa kuzingatia sheria, na kanuni za uandikaji habari za bunge
Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uendeshwaji wa Bunge wakati wa kutoa habari zinazohusu Bunge kwa kuripoti habari zenye kuwagusa wananchi moja kwa moja kwa manufaa ya Watanzania .
Ushauri huo umetolewa na waandishi habari waandamizi ambao wamewataka waandishi kuacha kuandika habari kwa ushabiki usiokuwa na tija kwa wananchi bali kuzingatia miiko ya taaluma hiyo.
Wakati wabunge wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiendelea na Usajili...
11 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
Mwananchi12 May
Yanga yaitishia nyau TFF
9 years ago
Habarileo20 Sep
Yanga yaitishia nyau Simba
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga jana waliendelea kutoa dozi katika ligi hiyo baada ya kuwafunga maafande wa JKT Ruvu kwa mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Niyonzima aitishia nyau Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnRJYhn9-NLobBiZhP2cieWMour4EqD6dYQrEKHxaBHZJnXk*KPYYfoz1o*N91avHJQGV1l*auKS1yqeFdlz1UA/KADINDA.jpg?width=650)
KADINDA AMWITA LULU NYAU
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Arfi aitishia ‘nyau’ Chadema
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho kwa miaka 10 mfululizo, aliwaambia wananchi kuwa jimbo hilo litakuwa wazi wakati wowote wiki ijayo.
“Kama Chadema wana ubavu, waje walikomboe jimbo...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Stand, Prisons wazitishia nyau Yanga, Simba
9 years ago
Bongo506 Oct
Urembo wa Irene Paul wamdatisha Bonge la Nyau!