Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanuni zawatishia nyau wanahabari

Kanuni ya 77 ya Bunge la Katiba inaweza kutumiwa dhidi ya baadhi ya waandishi wa habari ambao waliandika habari za wajumbe kukosa posho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wanahabari washauriwa kuzingatia sheria, na kanuni za uandikaji habari za bunge

 

Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uendeshwaji wa Bunge wakati wa kutoa habari zinazohusu Bunge kwa kuripoti habari zenye kuwagusa wananchi moja kwa moja kwa manufaa ya Watanzania .

Ushauri huo umetolewa na waandishi habari waandamizi ambao wamewataka waandishi kuacha kuandika habari kwa ushabiki usiokuwa na tija kwa wananchi bali kuzingatia miiko ya taaluma hiyo.

Wakati wabunge wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiendelea na Usajili...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaitishia nyau TFF

Yanga imetingisha kiberiti kwa kujaribu kuwazuia wachezaji wake waliochaguliwa kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yaitishia nyau Simba

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga jana waliendelea kutoa dozi katika ligi hiyo baada ya kuwafunga maafande wa JKT Ruvu kwa mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Niyonzima aitishia nyau Yanga

Kiungo Haruna Niyonzima ameipa Yanga siku nne kubadili uamuzi wa kumfukuza na baada ya hapo ataanika ukweli wa mgogoro wake na klabu hiyo.

 

11 years ago

GPL

KADINDA AMWITA LULU NYAU

Stori: Mwandishi Wetu MWANAMITINDO maarufu Bongo, Martin Kadinda amempongeza Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa kumuita nyau. Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda aki[pozi. Martin alifanya ishu hiyo wakati akimtakia Lulu Happy Birthday Aprili 16 ambapo mwanadada huyo alikuwa akitimiza umri wa miaka 19. Paparazi wetu alipomhoji kuhusiana na kumuita nyau, Martin alifunguka:… ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Arfi aitishia ‘nyau’ Chadema

MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho kwa miaka 10 mfululizo, aliwaambia wananchi kuwa jimbo hilo litakuwa wazi wakati wowote wiki ijayo.

“Kama Chadema wana ubavu, waje walikomboe jimbo...

 

10 years ago

Mwananchi

Stand, Prisons wazitishia nyau Yanga, Simba

Makocha, Emmanuel Massawe wa Stand United na David Mwamaja wa Tanzania Prisons wamesema hawana presha na mechi watakazocheza Jumamosi dhidi ya Yanga na Simba.

 

9 years ago

Bongo5

Urembo wa Irene Paul wamdatisha Bonge la Nyau!

Urembo na uchapakazi wa mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Irene Paul umemdatisha msanii wa muziki, Bonge La Nyau aka Nyauloso. Nyauloso ameiambia Nje ya Box ya kipindi cha Planet Bongo cha EATV, kuwa anatadishwa mno na miondoko ya mwanadada huo. “Irene Paul kwanza ukiachana na mambo yote mimi ni shabiki yake,” alisema rapper […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani