Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerr awapa kazi Majabvi, Angban

kocha-Dylan-KerrNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, ameridhishwa na viwango vya kiungo, Justice Majabvi raia wa Zimbabwe na kipa Muivory Coast, Vincent Angban, wanaosaka nafasi ya kusajiliwa na timu hiyo.

Mwingereza huyo amesema hayo baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya SC Villa ya Uganda kwenye sherehe za Simba Day na kushinda bao 1-0 juzi, lakini amewapa mtihani nyota hao akiwataka waonyeshe makubwa zaidi.

“Nimefurahishwa na baadhi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kerr amtoa Angban kikosini Simba

Dylan-KerrKocha Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr.

Omary Mdose na Said Ally
KOCHA Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amesema katika harakati zake za kuutetea ubingwa wa Kombe la Mapinduzi hatamtumia kipa wake, Muivory Coast, Vincent Angban.

Angban kwa siku za hivi karibuni ameonekana kukaa langoni katika kila mchezo wa Simba kwenye Ligi Kuu Bara kitendo ambacho kimemfanya kocha huyo kumpumzisha na badala yake kuwatumia Peter Manyika na David Kissu.

Katika michuano hiyo ambayo msimu uliopita...

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr awapa somo nyota wake

dylanker-haiphongNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Daylan Kerr, amewapa somo nyota wake kuhakikisha wanapeana maelekezo ya kiufundi wenyewe kwa wenyewe wakiwa dimbani, kwa lengo la kukabiliana na upinzani wa timu yoyote ili timu itoke na ushindi.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema ameamua kufanya mabadiliko kidogo ya ufundishaji, ambapo wachezaji wanaoonyesha kuelewa zaidi mazoezini, watakuwa na jukumu la kuwasaidia wanaoshindwa.

Kerr alisema muda uliobakia kabla ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Julio atamba kumfukuzisha kazi Kerr

JulioKihwelu.jpg Kocha wa timu ya Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.

Said Ally,

Dar es Salaam

WAKATI taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba zikidai kumpa mechi nne tu kocha wao, Muingereza, Dylan Kerr kuhakikisha anapata matokeo ya ushindi, kocha wa timu ya Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, ametamba kuwa ataanza kumfungisha virago Mzungu huyo kwa kukifunga kikosi chake.

kochaDylanKerr.jpg Muingereza, Dylan Kerr.

Simba na Mwadui zinatarajia kukutana kesho Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao utapigwa kwenye...

 

9 years ago

Habarileo

Majabvi arudi kundini

MCHEZAJI Justice Majabvi wa Simba ameomba radhi kwa uongozi wa timu yake na tayari ameungana na wenzake kambini Shinyanga kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui keshokutwa.

 

9 years ago

Mtanzania

Majabvi aiangukia Simba

Justice-MajabviNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MCHEZAJI wa kimataifa wa Simba, Justice Majabvi, ameuomba uongozi wa klabu hiyo kumpa nafasi nyingine ya  kuendelea kuichezea timu hiyo katika mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Majabvi ambaye ni raia wa Zimbabwe alitishia kuondoka katika timu hiyo kwa madai kuwa uongozi umeshindwa kumtimizia mahitaji yake ya msingi.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo zililipasha MTANZANIA jana kuwa, Majabvi aliwapigia simu viongozi wa timu hiyo kuomba...

 

10 years ago

Habarileo

Simba yaingia mkataba na Majabvi

KLABU ya Simba imemsainisha kiungo mkabaji wa kimataifa kutoka Zimbabwe, Justice Majabvi, mkataba wa miaka miwili wa kuichezea timu hiyo inayojiandaa kushiriki msimu ujao wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

 

9 years ago

Global Publishers

Simba wamshtukia Majabvi, wamkata mshahara

majadviKiungo wake mkabaji Mzimbabwe, Justice Majabvi.

Wilbert Molandi, Dar es Salaam

KUTISHIA kumtimua haikutosha, uongozi wa Simba umeamua kumkata mshahara wa mwezi huu kiungo wake mkabaji Mzimbabwe, Justice Majabvi.

Hiyo ni siku chache tangu kiungo huyo alipoujia juu uongozi wa timu hiyo akilalamikia kutotimiziwa mahitaji yake kwa mujibu wa mkataba tangu ajiunge na Simba, hasa suala la malazi.

Uongozi wa Simba ulikasirishwa na kitendo hicho na kuchukua uamuzi wa kumtimua nyota huyo mwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Yanga, Simba zawatuliza Bossou, Majabvi

Wakongwe wa soka nchini, Yanga na Simba wamewatuliza nyota wao wa kimataifa beki wa Togo, Vicent Bossou na kiungo Mzimbabwe Justice Majabvi kwa kuwaahidi kuwasajili muda wowote wiki hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota Nibomana, Majabvi wamkuna kocha wa Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ameonyesha kukunwa na uwezo wa nyota wake wapya wakiwamo beki Mrundi Emiry Nibomana ‘Kadogoo’ na kiungo Mzimbabwe, Justice Majabvi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani