Kesi Mahakama ya Wilaya chini ya miembe
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wilayani Mpanda inakabiliwa na changamoto ikiwemo ukosefu wa nyumba vya ofisi hivyo upo uwezekano wa baadhi ya kesi kusikilizwa chini ya miti ya miembe mahakamani hapo . Hii ni kutokana na ofisi ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo kuanza kutumika na Mahakama Kuu ya Tanzania - Kanda ya Sumbawanga kwa ajili ya kusiliza mashauri ya makosa ya jinai .
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 May
Kesi ya madai katika mahakama ya wilaya
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
10 years ago
MichuziUZINDUZI WA CHANJO YA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 WILAYA YA MUFINDI MKOA WA IRINGA WAFANYIKA
11 years ago
Habarileo13 May
Mahakama kuondoa mlundikano wa kesi
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema Mahakama imejipanga kuondoa tatizo la mlundikano wa mashauri ya muda mrefu ndani ya miezi 18 ijayo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zfUI-KqU3dM/UxQlTEwQIlI/AAAAAAAFQtE/B30PiY8HUi8/s72-c/New+Picture+(1).png)
shamba linauzwa Kibaha Miembe saba
![](http://2.bp.blogspot.com/-zfUI-KqU3dM/UxQlTEwQIlI/AAAAAAAFQtE/B30PiY8HUi8/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_lRRnbkj4zI/UxQldqTvZPI/AAAAAAAFQtM/G9nuRF5xe4U/s1600/New+Picture+(2).png)
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Mtuhumiwa kesi ya twiga aichezea mahakama
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kutorosha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda Jiji la Doha nchini Qatar inayowakabiliwa washitakiwa wanne akiwamo raia wa Pakistan, Kamran Ahmed, umeiomba mahakama kutoa...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Mahakama yabaini upungufu kesi Simba
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Madudu ya mahakama katika kesi za ujangili