Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yabaini upungufu kesi Simba

>Hatima ya wanachama wa Simba kuzuia uchaguzi wa klabu hiyo uliopangwa kufanyika keshokutwa bado iko shakani baada ya maombi yao kukwama kusikilizwa na Mahakama Kuu jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu bado ina upungufu wa majaji

JAJI Kiongozi Fakhi Jundu amesema Mahakama Kuu bado inakabiliwa na tatizo la upungufu wa majaji, jambo linalosababisha jaji mmoja kusikiliza mashauri mengi kwa mwaka.

 

9 years ago

StarTV

 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.

Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.

Baada ya uchaguzi mkuu...

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama kuondoa mlundikano wa kesi

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema Mahakama imejipanga kuondoa tatizo la mlundikano wa mashauri ya muda mrefu ndani ya miezi 18 ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

Waomba Mahakama kusimamisha kesi ya Escrow

UPANDE wa utetezi katika kesi ya kupokea rushwa ya Sh milioni 323.4 inayomkabili Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma umeiomba Mahakama kusimamisha kesi hadi itakaposikiliza ombi lao.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi Mahakama ya Wilaya chini ya miembe

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wilayani Mpanda inakabiliwa na changamoto ikiwemo ukosefu wa nyumba vya ofisi hivyo upo uwezekano wa baadhi ya kesi kusikilizwa chini ya miti ya miembe mahakamani hapo . Hii ni kutokana na ofisi ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo kuanza kutumika na Mahakama Kuu ya Tanzania - Kanda ya Sumbawanga kwa ajili ya kusiliza mashauri ya makosa ya jinai .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama kuamua kuhusu kesi ya Mubarak

Mahakama nchini Misri inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu kesi inayomkabili rais wa zamani wa nchi hiyo Hosni Mubarak

 

11 years ago

Mwananchi

Mshtakiwa kesi ya mauaji aiangukia Mahakama

Mshtakiwa Makongoro Joseph Nyerere, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara wa madini, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imuachie huru akakae nyumbani na watoto wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo

 Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi, dhidi pingamizi zilizowasilishwa na upande wa mlalamikiwa kwa njia ya maandishi dhidi ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.

 

9 years ago

Habarileo

Mahakama yafafanua gharama kesi za uchaguzi

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania inaweza kupunguza gharama za usikilizwaji wa kesi za uchaguzi endapo, anayefungua kesi atawasilisha maombi ya kuomba apunguziwe gharama hizo au asamehewe, imefahamika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani