Mahakama kuondoa mlundikano wa kesi
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema Mahakama imejipanga kuondoa tatizo la mlundikano wa mashauri ya muda mrefu ndani ya miezi 18 ijayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-uFTMOXviCC8/U8flEDt9XpI/AAAAAAAABYM/y0thDH2gSx0/s72-c/Unknown.jpeg)
Mlundikano wa kesi wamkera waziri
NA RACHEL KYALA
VITUO vinavyotoa msaada wa kisheria nchini vimetakiwa kupanua wigo wa huduma, ili kuzinusuru mahakama na tatizo la mlundikano wa kesi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uFTMOXviCC8/U8flEDt9XpI/AAAAAAAABYM/y0thDH2gSx0/s1600/Unknown.jpeg)
Huduma hizo ni pamoja na kutoa usuluhishi ili mashauri yaishie nje ya mahakama.
Alisema hivi sasa mahakama zimekuwa na mlundikano mkubwa wa kesi, ambazo nyingine zingewezwa na wataalam wa sheria katika vituo hivyo.
Mbali na usuluhishi, vilevile vimetakiwa kuwa na maofisa ustawi wa jamii watakaokuwa wanatoaushauri nasaha licha ya msaada wa...
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Mshtakiwa kesi ya mauaji aiangukia Mahakama
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Mahakama kuamua kuhusu kesi ya Mubarak
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Mahakama yabaini upungufu kesi Simba
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe
10 years ago
Mwananchi21 May
Kesi ya madai katika mahakama ya wilaya
9 years ago
Habarileo18 Dec
Mahakama yafafanua gharama kesi za uchaguzi
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania inaweza kupunguza gharama za usikilizwaji wa kesi za uchaguzi endapo, anayefungua kesi atawasilisha maombi ya kuomba apunguziwe gharama hizo au asamehewe, imefahamika.
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo