Kigogo Maliasili aburutwa kortini
![](http://2.bp.blogspot.com/-x_GmgaUMr2E/U-x2J2VVSOI/AAAAAAAABew/R3vs9Go2OmU/s72-c/bize.jpg)
NA FURAHA OMARY
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imempandishwa kizimbani Ofisa Mhifadhi Wanyamapori wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Richard Nchasi, kwa madai ya kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajiri kwa kutoa hati za uwindaji wa wanyama.
Nchasi alifikishwa jana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka manne ya kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri na kuisababishia wizara hiyo hasara ya dola za Marekani 1,860 (sh. 2,976,000).Wakili wa Serikali...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcLd29QxnZcOeqCh*ffCzi0-zliojAX9TiI9WyyfiKltzCDDsTQU5N98hE3un-D*IfnYtLQJ0N45NCRqRB7dPSul/Wema.gif?width=650)
KIGOGO WA WEMA KORTINI
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
Kigogo kortini kwa uhujumu uchumi
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoa wa Mbeya, imempandisha kizimbani, Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya Mbeya, Gerishon Bwire.
Bwire anakabiliwa na makosa matatu tofauti, ambayo ni kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajiri wake, ubadhirifu na kuisababishia hasara mamlaka.
Mwendesha mashitaka wa TAKUKURU, Nimrod Mafwele, alidai mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa Mbeya, James Mhanusi, kuwa Bwire alifanya makosa hayo Mei mwaka jana,...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Kigogo CCM kortini kwa kulawiti wanawe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-30-1024x683.jpg)
WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s640/1-30-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-27-1024x683.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kigogo CCM auawa
MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kumuua kwa risasi mtoto mdogo anayekadiriwa kuwa na miaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2L4V0v6zF6dm1oe8xQ6FoLbE77LmjW2eKnGBEjfkfb2*EYB5*JYd8FVPM2X0W6sY2FYDlA2nj3*pzpG3M-1x749/wema.jpg?width=650)
KIGOGO WA WEMA NOMA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hmQoa2T7dYgU2ifGyXOHZf0OlApuPTevZanoSN*FedoC*RraFMPgI9iIdHMWZNs*xrZ0*NmlunoTdoTVZ3tAfP/kigogo.jpg?width=650)
KIGOGO MZITO SHOGA!
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Kamati yamkaba kigogo wa Uda