Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete apongeza wasomi wanaolima, kuwasaidia

RAIS Jakaya Kikwete amewapongeza vijana wa vyuo vikuu, ambao wamejiunga kwenye kikundi na kufanya shughuli za kilimo kwa kutumia teknolojia mpya ya green house, ambapo baada ya kuvuna wanatarajia kupata Sh milioni 23.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kikwete apongeza Polisi

RAIS Jakaya Kikwete amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia vizuri kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazofikia ukingoni, lakini akalitaka kuwadhibiti watu wote watakaoonesha viashiria vya uvunjifu wa amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu unaofanyika Jumapili wiki hii.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete apongeza timu ya watoto

Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Timu ya Watoto wa Mitaani ya nchi hiyo kwa kutwaa Kombe la Dunia.

 

11 years ago

Michuzi

RIDHIWANI KIKWETE NA NIA YA KUWASAIDIA VIJANA WA CHALINZE

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wake na waandishi hao wakati akizungumzia mwenendo mzima wa Kampeni zake,leo April 4,2014,Nyumbani kwake Msoga. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete.

MGOMBEA ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, amesema akipata...

 

10 years ago

Habarileo

DC Masasi apongeza REA

MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Farida Mgomi, amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa programu yao ya mafunzo inayoendelea wilayani humo, itakayosaidia kukabiliana na uharibifu wa mazingira ya bahari.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein apongeza Wazanzibari

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

 

10 years ago

Habarileo

Nape apongeza wapinzani

Nape Nnauye.CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa ushiriki wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka waongeze kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14 hadi sasa ni mdogo, ukilinganisha na umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao ni miaka 20.

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba kuwasaidia walemavu

Naibu Waziri wa Wizara Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameahidi kuwapa mitaji ya kuendeleza biashara zao wajasiriamali walemavu.

 

11 years ago

Habarileo

JK apongeza taasisi ya afya ya Ifakara

Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza mtafiti wa chanjo ya malaria na kiongozi wa watafiti wa Ifakara Health Institute (IHI) waliopo mjini Malabo, Equatorial Guinea, Dk Ally Olot wakati walipomtembelea jana. Wengine ni mtalaamu mratibu wa tafiti za chanjo ya malaria Dk Mwajuma Chemba (wa pili kulia) na mtaalamu wa maabara, utambuzi wadudu wa malaria Elizabeth Nyakarungu. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete amewapongeza watafiti wa taasisi ya Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) kwa kuiletea sifa Tanzania katika fani ya utafiti nje ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani