Kikwete apongeza wasomi wanaolima, kuwasaidia
RAIS Jakaya Kikwete amewapongeza vijana wa vyuo vikuu, ambao wamejiunga kwenye kikundi na kufanya shughuli za kilimo kwa kutumia teknolojia mpya ya green house, ambapo baada ya kuvuna wanatarajia kupata Sh milioni 23.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Oct
Kikwete apongeza Polisi
RAIS Jakaya Kikwete amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia vizuri kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazofikia ukingoni, lakini akalitaka kuwadhibiti watu wote watakaoonesha viashiria vya uvunjifu wa amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu unaofanyika Jumapili wiki hii.
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Rais Kikwete apongeza timu ya watoto
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s72-c/MMG27322.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE NA NIA YA KUWASAIDIA VIJANA WA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s1600/MMG27322.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K64RQ5uESGg/Uz6Vtpzm5MI/AAAAAAAFYYk/9qz0WMRTJm8/s1600/MMG27311.jpg)
MGOMBEA ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, amesema akipata...
10 years ago
Michuzi29 Sep
10 years ago
Habarileo18 Dec
DC Masasi apongeza REA
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Farida Mgomi, amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa programu yao ya mafunzo inayoendelea wilayani humo, itakayosaidia kukabiliana na uharibifu wa mazingira ya bahari.
11 years ago
Habarileo02 Jan
Dk Shein apongeza Wazanzibari
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewapongeza Wazanzibari kwa kuonesha umoja na mshikamano na uzalendo kwa kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa.
10 years ago
Habarileo17 Dec
Nape apongeza wapinzani
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa ushiriki wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka waongeze kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14 hadi sasa ni mdogo, ukilinganisha na umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao ni miaka 20.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Makamba kuwasaidia walemavu
11 years ago
Habarileo29 Jun
JK apongeza taasisi ya afya ya Ifakara
RAIS Jakaya Kikwete amewapongeza watafiti wa taasisi ya Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) kwa kuiletea sifa Tanzania katika fani ya utafiti nje ya nchi.