KILA MTU AASWA KUTOA MCHANGO WA MAENDELEO YA UANUWAI WA UTAMADUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zpOCqPJ3Pxo/XsZeeEmtOAI/AAAAAAALrFU/7SHt2t9JjMActVLNeBKCsN04DC6hcRB-gCLcBGAsYHQ/s72-c/za.jpg)
TANZANIA inaungana na dunia nzima katika kuadhimisha sherehe ya Uanuwai wa Utamaduni ambazo hufanyika kila mwaka tarehe 21 Mei. Katika sherehe za mwaka huu wa 2020, kila mwanajamii kwa nafasi yake na katika eneo lake aendelee kuchukua tahadhali zinazoendelea kutolewa na Serikali juu ya kupambana na janga hili la ugonjwa wa Covid 19 nchini na kuendelea na shughuli za kiuchumi.
Tunajivunia na kuuenzi Uanuwai wa Utamaduni nchini kwa zaidi ya miaka 56 ya Uhuru ambapo uanuai wa Utamaduni wa jamii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hHEcfMQFcPw/U3nOGrCWZLI/AAAAAAAFjoo/pw76oLerQ0M/s72-c/unnamed+(17).jpg)
SIKU YA UANUWAI WA UTAMADUNI DUNIANI KUADHIMISHWA MEI 21 KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hHEcfMQFcPw/U3nOGrCWZLI/AAAAAAAFjoo/pw76oLerQ0M/s1600/unnamed+(17).jpg)
10 years ago
Habarileo16 May
Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi
URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.
9 years ago
StarTV03 Dec
ICTR yatajwa kutoa mchango mkubwa wa kuwakamata wahusika wa kimbari
Wakati Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) ikimaliza muda wake Nchini,Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Chande Othamn, amesema chombo hicho kimekuwa na mchango mkubwa wa kuainisha sheria, kwa kuwakamata na kuwafungulia mashtaka wale waliohusika na mauaji hayo.
Jaji Mkuu Chande Othman aliyekuwa amehudhuria zoezi la kuhitimishwa kwa Mahakama ya ICTR Jijini Arusha, amesema kwa miaka 21 mahakama hiyo imechangia kuwashtaki na kuwahukumu viongozi wakuu wa Serikali,vyama vy...
5 years ago
MichuziSerikali kuendelea kuenzi mchango wa radio katika kufanikisha maendeleo
11 years ago
Habarileo22 May
'Tumieni maonesho ya utamaduni kuchochea maendeleo'
JAMII imetakiwa kutumia maonesho ya utamaduni kupata elimu jinsi ya kuingia katika soko la biashara la ndani na nje ya nchi na kuchochea maendeleo. Hayo yalisemwa leo, Dar es Salaam na Mratibu wa Biashara wa Tan-Tanzania, Deusdedit Kizito, kwenye maonesho ya Utamaduni yaliyozinduliwa juzi na yanayoendelea hadi Mei 25, Siku ya Uhuru wa Afrika.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s72-c/UT0.jpg)
Profesa Mwansoko awaaga watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni
![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s640/UT0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FIAbf-1-3fk/VnFOIrl6xSI/AAAAAAAIMxI/M9uPfyy2FW0/s640/UT1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MEyie7rKJeI/VnFOEab7jlI/AAAAAAAIMww/kC7hynY6skk/s640/UT2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x649.jpg)
RAIS MAGUFULI AWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU TAUSI 25 KILA MMOJA NA MAMA MARIA NYERERE KWA KUTAMBUA MCHANGO WAO KATIKA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x649.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1.-4-962x1024.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-24-1024x858.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6UTQWKNGj0U/Vm3L4ed9uGI/AAAAAAAIMLQ/XxxybshF2cQ/s72-c/images.png)
JE KILA UNACHOKUBALIANA NA MTU NI MKATABA KISHERIA ?
![](http://2.bp.blogspot.com/-6UTQWKNGj0U/Vm3L4ed9uGI/AAAAAAAIMLQ/XxxybshF2cQ/s400/images.png)
10 years ago
Habarileo20 Jun
‘Jukumu la kulea yatima ni la kila mtu’
JUKUMU la malezi ya watoto yatima na waishio katika mazingira magumu nchini linapaswa kutekelezwa na kila Mtanzania pamoja na taasisi mbalimbali nchini ili kupunguza wimbi la wananchi tegemezi.