Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini ajali za meli hazitufunzi?

KWA mara nyingine tena tumepata msiba mkubwa wa watu kupoteza maisha yao wakisafiri kati ya Unguja na Pemba. Katika tukio la hivi karibuni boti ya Kilimanjaro II ilipigwa na dhoruba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

kumbumbu ya ajali ya meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopitta.

Miss Universe Tanzania 2007 na mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata leo amejumuika na wananchi wengine mkoani Mwanza katika Ibada maalum ya kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya kuwaombea marehemu waliopoteza maisha yao baada ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopitta.    Flaviana Matata, ambaye anafanyia shughuli zake   nchini Uingereza na Marekani ni mmoja wa watu  waliopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo. Yeye alimpoteza mama yake mzazi na Kaka yake. Mbali na kusindikizwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi wanusurika ajali ya meli Ziwa Victoria Mwanza

Wafanyakazi 10 wa meli ya F. Matala mali ya Kampuni ya Mkombozi Fishing Marine and Transport, wamenusurika kufa baada ya meli hiyo kuzama Ziwa Victoria usiku wa kuamkia jana.

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA WATU 15 KABURI MOJA HUKO KIGOMA! NI WALE WALIOPATA AJALI YA MELI!

Miili 15 ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambao walifariki katika ajali ya meli kwenye Mkoa wa Kalemie nchini humo ilipatikana Kigoma na mazishi yamefanyika ambapo kwa upande wa Serikali Congo kulikuwa na muwakilishi ambaye ni Balozi mdogo Congo, Riki Molema. Hizi ni baadhi ya picha wakati wa mazishi ya watu hao. Naibu Balozi Mdogo wa ubalozi wa DRC mkoani Kigoma Riki Molema akizungumza na wananchi wa kijiji cha kalilani wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wakati wa mazishi ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Ripoti kutoka Zanzibar kuhusu ajali ya moto kwenye meli December 15.. (+Audio)

Hii stori imenifikia baada ya kuenea kwenye mitandao pamoja na picha zikionesha tukio la meli kuwaka moto Nimeipata ripoti pia kwenye habari ya ITV kwamba meli hiyo ya MV Royal imepata ajali ya kuwaka moto ikiwa katikati ya safari kutoka Unguja kwenda Pemba, moto huo umeunguza injini za meli hiyo lakini kwa bahati nzuri ikatokea […]

The post Ripoti kutoka Zanzibar kuhusu ajali ya moto kwenye meli December 15.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA

Na Editha Karlo Globu ya Jamii,Kigoma
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.

Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

AJALI NA VIFO VITOKANAVYO NA AJALI MKOA WA DAR ES SALAAM VYAPUNGUA

 Mkuu wa usalama Barabarani Kanda Maalum Dar es Salaam, Peter Sima  katikati akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya Maonesho ya usalama barabarani ya yatakayofanyika tarehe Agosti 24 na 25 mwaka huu katika viwanja vya mashujaa Mnazi Mmoja  jijini Dar es Salaam, kulia ni Mrakibu Mwandamizi wa Polisi na  Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Kinondoni, Awadhi Haji na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama barabarani, Elifadhili Mgonja.Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi

Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yatetea meli iliyonaswa Mombasa

Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali madai kwamba silaha zilizopatikana ndani ya meli iliyozuiliwa na maafisa wa Kenya katika bandari ya Mombasa zilikuwa haramu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meli Jeshi la Uturuki ziarani

MELI nne za kijeshi za Uturuki ‘Barbaros Turkish Maritime Task Group’ (TMTG), zinatarajiwa kutia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam kwa ziara ya kijeshi ya siku nne ambayo itahusisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani