Last BVR day in Dar attracts multitudes
IPPmediaLast BVR day in Dar attracts multitudes
IPPmedia
Many Dar es Salaam residents registered through the just-ended Biometric Voters Registration (BVR) process, National Electoral Commission (NEC) chairman (retired) Judge Damian Lubuva said yesterday. He said the number was more than the ...
NEC says no extension of voter registrationDaily News
all 3
IPPmedia
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen27 Feb
Business yet to pick up despite CA multitudes
10 years ago
Vijimambo07 Apr
BVR zawasili Dar.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Julius-7April2015.jpg)
Hatimaye mashine 248 za kisasa za kuandikisha wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia mfumo wa elektroniki wa Biometric Voters Registration (BVR) zimewasili nchini, ili kuongeza kasi ya mwenendo wa mchakato huo, ambao umekuwa wa kusuasua.
Kusuasua kwa mchakato huo ulioanza mkoani Njombe, Februari 23, mwaka huu kabla ya kusimama, kunatokana na mashine 250 za awali za kuandikisha wapigakura zilizokuwa...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
BVR zakera Dar
MCHAKATO wa uandikishaji wapiga kura kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) ulioanza jana jijini Dar er Salaam, umeonekana kusuasua huku baadhi ya vituo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na vifaa kuharibika au kuchelewa kufika, anaripoti CHRISTINA MWAGALA, Dar.
Raia Tanzania jana lilitembelea vituo kadhaa jijini hapa ambapo katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, Mabibo wilayani Kinondoni, kati ya mashine nane zilizokuwapo, ni nne tu zilizokuwa zikifanya kazi baada ya nyingine...
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1.-Wananchi-wakiwa-kwenye-kituo-cha-kupiga-kura-cha-Kalenga-A.jpg)
ZOEZI LA BVR NI BALAA DAR
10 years ago
Mwananchi19 Dec
BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar
10 years ago
Vijimambo23 Jul
Mauzauza ya BVR yahamia Dar
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mwananchi.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2803574%2FhighRes%2F1069147%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2F12choasz%2F-%2Fpic%2BBvr.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0J90nUw6sQcGnTPry9rtXHoQPmYnBRTFhhGeHgX4O*nezPbP9DGjQDmmhrh3E-dFKZuI-J9bnClqF086qcOBzel/BVRDar.gif?width=650)
BVR DAR, SASA NI MATESO
10 years ago
Habarileo06 Aug
Uandikishaji BVR Dar wavuka lengo
LICHA ya kuanza kwa kusuasua, kazi ya uandikishaji wapigakura katika mfumo wa kielektroniki wa BVR katika Jiji la Dar es Salaam, imepata mafanikio na kuvuka lengo la uandikishaji lililokuwa limewekwa.