Lema chupuchupu kutiwa nguvuni
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema jana alinusurika kukamatwa na makachero wa Jeshi la Polisi ili kuhojiwa kutokana na ujumbe wake aliouposti kwenye mtandao wa kijamii akiandika: “Rais Kikwete mbona umeamua kuliangamiza taifa.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Nov
Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini
MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.
9 years ago
StarTV30 Sep
Kisa cha Zaidi ya watu 60 wanaodhaniwa wafuasi wa Chadema kutiwa mbaroni hiki hapa:
Polisi mkoani Iringa inawashikilia zaidi ya watu sitini wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwa tuhuma za kuhatarisha amani kwenye barabara inayotoka katika uwanja wa michezo wa Samaro kwenda Kihesa.
Tukio hilo limetokea wakati Chama cha Mapinduzi CCM kupitia kwa mgombea wake wa Urais Dokta John Magufuli kufanya mkutano wa Kampeni za Urais kwenye uwanja wa michezo wa Samora Mjini Iringa.
Kadri siku zinavyojongea kufanyika kwa uchaguzi mkuu,hali ya kuanza...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Nguvuni akidaiwa kuiba mtoto
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Sudan.K: Mawaziri wanne watiwa nguvuni
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Watatu nguvuni wakituhumiwa kumtesa kigogo wa Chadema
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCmEJwxnBKlR*0BfaD7gRxPhc7jf4OUkP365rJWf7lCbPIWbaeIIi3ANz46dUc4KBtmXfIO01fTTU7jzgSJUopgW/3kichanga3.jpg)
KICHANGA CHATUPWA, MAMA YAKE ATIWA NGUVUNI
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Polisi 14 nguvuni kwa kuiba mali ya Sh900 mil
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s72-c/WEZI%2B3.jpg)
MAJAMBAZI WATIWA NGUVUNI BAADA YA KUFANYA JARIBIO LA KUIBA BENKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s640/WEZI%2B3.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Apr
RC chupuchupu kuhadaiwa
MKUU wa Mkoa wa Katavi , Dk Rajab Rutengwe ametoa ushuhuda wake jinsi alivyoponea chupuchupu, kuhadaiwa na mkazi wa mjini Mpanda jana asubuhi, ambayo ilikuwa Siku ya Wajinga Duniani.