Watatu nguvuni wakituhumiwa kumtesa kigogo wa Chadema
 Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, wanawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Mwenyekiti wa Chadema wilayani Temeke, Joseph Yona, ambaye baadaye, alitelekezwa Ununio, Kunduchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Jan
Kigogo Chadema atekwa, ateswa
MGOGORO unaoendelea ndani ya Chadema una uhusiano na tukio la kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa Wilaya ya Temeke, Joseph Yona, Polisi imesema.
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Nyumba ya kigogo CHADEMA yavamiwa
NYUMBA ya Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), John Heche, iliyopo Mabibo Loyola, jijini Dar es Salaam, imevamiwa na watu wasiojulikana, ambapo...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kigogo CHADEMA apangua kesi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mbozi, imemwachia huru Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Harode Langisa “Jivava”, baada ya kumkuta hana hatia katika kesi...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Kigogo Chadema ashambuliwa Kigoma
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Kigogo UVCCM ajiunga CHADEMA
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Siha, Godwin Mollel ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mollel aliyeachia ngazi kwenye chama hicho...
10 years ago
Vijimambo23 Feb
Kigogo CCM Arusha ajiunga Chadema
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nassari-23Feb2015.jpg)
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha, Francis Ikayo, amejiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mwanasiasa huyo aliyekuwa mmoja wa wana CCM waliowania uteuzi wa kuwania ubunge Jimbo la Longido mwaka 2010 na kuangushwa na Mbunge wa sasa Lekelu Laizer, alijiunga Chadema jana, akitaja sababu kuu tatu zilizomfanya kuchukua uamuzi huo.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Namanga, mpakani...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gQnfxOicahE/XoiolVvnyPI/AAAAAAABnCA/V0W6x-fe8F4g8a1lDWO24plYQa4luco2gCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bchadema%252Btarime.jpg)
KIGOGO WA CHADEMA NA WENZAKE 50 WATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-gQnfxOicahE/XoiolVvnyPI/AAAAAAABnCA/V0W6x-fe8F4g8a1lDWO24plYQa4luco2gCLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bchadema%252Btarime.jpg)
Joseph na wenzake wamejiunga na CCM leo Jumamosi Aprili 4, 2020 katika ofisi za chama hicho Tarime na kupokelewa na naibu waziri wa Tamisemi, Mwita Waitara.
Wilaya ya Tarime ina majimbo mawili yanayoongozwa na Chadema ambayo ni Tarime Mjini linaloongozwa na Esther Matiko na Tarime Vijijini...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Wanne mbaroni mauaji ya kigogo Chadema
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kigogo Chadema auawa kinyama Geita