Life Style: Wema Ajuta Kuweka Kope Bandia
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa anajuta kutumia kope za bandia kwa muda mrefu kwani zimeharibu kope zake za asili.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL, Wema alisema awali alikuwa hawezi kutoka kwenda kokote bila kuweka kope hizo na hata asipozibandika anajisikia vibaya lakini baada ya kumharibia muonekano wake wa asili, hataki hata kusikia.
“Jamani hakuna kitu ambacho nimekichukia kwa hivi sasa kama kope za bandia sina tena ushawishi nazo kabisa zimeharibu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8XZ9CdD9P8cpkztbmlMSxYsiuCKtM*ThDppwP*uQxPWMuV7AP8DpbAUG7A6OQjyroYGfgZ91rQ7H9bOEndzAAbN/wema.jpg)
WEMA AJUTA KUWEKA KOPE BANDIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtpjWHu3yOZcO5DLsm8ZvVWHSG2Chn5Zkia*cXDvYaM0K65XRfZdkKyh*19-mFvxeVM4xg1s4oxH8956fq1lv48A/MWENDA.jpg?width=650)
BI. MWENDA ABANDIKA KOPE ZA BANDIA
10 years ago
Bongo Movies03 Jan
Life Style:Napenda Kuchezea Kichwa Changu-Wolper
Hakuna anaeweza kupinga kuwa mrembo na moja kati ya waigizaji pendwa wa kike hapa bongo, Jackline Masawe “Wolper”ni miongoni mwamastaa wa kike wachache ambao wanapenda kubadilisha mitindo ya nywele zao mara kwa mara.
Kwa wanaomfuatilia mitandaoni watakubali kuwa haiwezi ikapita wiki bila mwanadada huyu kuonekana na “style” mpya ya nywele.
Hatimaye leo akiwa katika mtindo mpya (picha hapo juu) wa nywele, wolper alifunguka na kusema kuwa yeye anapenda kuchezea kichwa chake na kuwaonya watu...
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
LIFE STYLE:Kajala na Binti Yake Paula Wananikosha Sana
Upendo wa mama kwa mtoto wake hauwezi kufananishwa na kitu chochote hapa duniani,kwa hili nadhani hakuna anaebisha.Ila ni ukweli pia wazazi hutofautiana katika kuonyesha mapezi kwa watoto wao,hapa nazungumzia mahusiano ya wazazi na watoto katika maisha ya kila siku.
Kwa sisi watoto wa maika ya 1980+ wazazi wetu wengi walitufanya tuwaogope na kuwaheshimu hata kwanidhamu ya woga, kitu ambacho mimi nakipinga sana.Leo mambo ni tofauti sana, wazazi wengi wamekuwa wakijitahidi kujenga urafiki na...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Life style: Manaiki Sanga, Mkali wa “Selfies” Hapa Bongo!!!
‘Selfie’ ni aina ya picha ambazo watu hujipiga wenyewe kwa kutumia camera za simu zao au digital camera na mara nyingi huwa ni kwaajili ya ku-share kwenye mitandao ya kijamii.
Leo katika pitiapitia za kurasa za waigizaji wa hapa bongo, nimebaini kuwa mwigizaji Manaiki Sanga ndie msanii ambae amepiga selfies kali zaidi, hapa nazungumzia zile zinazo jumuisha watu zaidi ya mmoja.
Kama unam-follow makali huyu kwenye mtandao wa instagram, utakubaliana na mimi kuwa jamaa anapenda sana mtindo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-FH5n-hKDGWyzfwUuhVeeIAiT8OD6mT-Kh76z0Ehd7Cbf-OWngc2I3brDJWKq3VGbmRf3vhWCA3zOzEc9sN*n5F/150000080.jpg)
WEMA JIFUNZE KUWEKA BREKI MDOMONI
10 years ago
Vijimambo01 Mar
HUYU NDIYO ANASHIKILIA REKODI YA DUNIA KUWA NA KOPE NDEFU
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/28/262F959500000578-0-image-a-2_1425146699392.jpg)
Valery Smagliy, 58, from Kiev, said his eyelashes grew to their astonishing length after he changed his diet and believes the key to their growth could be marketable. He has kept the amazing-looking lashes until now as he has enjoyed the attention they attract from women.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmOIqj6z9ZKCMsDmS1uzicNd2WVdHWBJeEChWXS44WIOa-KDl5I-k594wy*wtTn5JrAeF0aU-E4N6lGxy-5pGToP/Johari.gif?width=650)
JOHARI AJUTA KUACHANA NA MCDONALD!
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Ainea sasa ajuta kupenda
MSANII anayekuja juu kwa kasi katika muziki wa kizazi kipya nchini, Kedimon Ainea, maarufu kama ‘Ainea’, anatarajia kuachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Najuta Kupenda’ hivi karibuni. Akizungumza na Tanzania Daima...