Lowassa aipeleka nchi Arusha
ABRAHAMU GWANDU NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
NYUMBA za kulala wageni katika Jiji la Arusha na viunga vyake zimeanza kufurika kutokana na makundi ya watu yanayowasili jijini hapa kushuhudia mwanzo wa ‘Safari ya Matumaini’ ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, anayoianza rasmi leo.
Mwanasiasa huyo mwenye ushawishi mkubwa miongoni mwa makada wa CCM walioonyesha nia ya kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho, anatarajiwa kutangaza nia leo kuanzia saa 8 mchana katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Lowassa kuzungumza na wanawake nchi nzima
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri wa zamani, Edward Lowassa, leo anatarajiwa kuzungumza na wanawake wa makundi mbalimbali nchini katika kongamano lililoandaliwa na Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha).
Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuwa Lowassa atazungumza na wanawake hao kupitia televisheni mbalimbali zitakazorusha tukio hilo moja kwa moja.
Alisema katika mkutano huo mgombea...
10 years ago
Mwananchi16 May
Lowassa afunika Arusha
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TPRiA2ExdOfW0qahuYXarMggSJFYF8c-VB*FraFk4TTwsWoBD8wyDfz8sZjjkg4nA2xtUtp*9bSNTWrVeICknCb/wema_sepetu991.jpg?width=650)
WEMA ADAI LOWASSA ANGESHINDA, ANGEHAMA NCHI
9 years ago
Michuzi14 Aug
LOWASSA KUJITAMBULISHA KESHO ARUSHA
Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa ambaye ni mgombea Urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)anatarajiwa kupokelewa kwa mapokezi makubwa ikiwemo magari,pikipiki,katika uwanja wa ndege wa kia hadi viwanja vya tindigani kata ya kimandolu jijini Arusha siku ya jumamosi(kesho tarehe 15) ambapo atahutubia wananchi katika mkutano ulioandaliwa na chama hicho
Akizungumza mapema jana na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho juu ya maandalizi hayo Mwenyekiti wa...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Kinana amvaa Lowassa Arusha
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, aliyedai kuwa kazi nzuri anazofanya Rais John Magufuli, ni utekelezaji wa sera za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Lowassa hadharani Arusha leo
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Lowassa kufanya ziara nchi nzima kuanzia kesho
![LOWASSA_0.jpg](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/09/LOWASSA_0.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Lowassa anusurika ajali ya ndege Arusha