Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa aipeleka nchi Arusha

lowassaABRAHAMU GWANDU NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

NYUMBA za kulala wageni katika Jiji la Arusha na viunga vyake zimeanza kufurika kutokana na makundi ya watu yanayowasili jijini hapa kushuhudia mwanzo wa ‘Safari ya Matumaini’ ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, anayoianza rasmi leo.
Mwanasiasa huyo mwenye ushawishi mkubwa miongoni mwa makada wa CCM walioonyesha nia ya kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho, anatarajiwa kutangaza nia leo kuanzia saa 8 mchana katika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lowassa kuzungumza na wanawake nchi nzima

lowassa-1NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri wa zamani, Edward Lowassa, leo anatarajiwa kuzungumza na wanawake wa makundi mbalimbali nchini katika kongamano lililoandaliwa na Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha).

Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuwa  Lowassa atazungumza na wanawake hao kupitia televisheni mbalimbali zitakazorusha tukio hilo moja kwa moja.

Alisema katika mkutano huo mgombea...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa afunika Arusha

Arusha. Shughuli mbalimbali jijini Arusha jana zilisimama kwa muda wakati umati wa watu ulipofurika kumlaki Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa aliyewasili mkoani hapa kwa ajili ya kuendesha harambee ya ujenzi wa Msikiti wa Patandi ulioko wilayani Arumeru.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 na kesho atakuwa Tanga.

 

9 years ago

GPL

WEMA ADAI LOWASSA ANGESHINDA, ANGEHAMA NCHI

Staa mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Isaac Sepetu. Imelda mtema Maneno kuntu! Staa mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Isaac Sepetu amefungua kinywa chake na kusema kuwa endapo Mgombea wa Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa angeshinda kuwa Rais wa Tanzania katika uchaguzi uliopita, bila hiyana yeye angehama nchi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Wema alisema kuwa anamshukuru Mungu kuwa...

 

9 years ago

Michuzi

LOWASSA KUJITAMBULISHA KESHO ARUSHA


Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa ambaye ni mgombea Urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)anatarajiwa kupokelewa kwa mapokezi makubwa ikiwemo magari,pikipiki,katika uwanja wa ndege wa  kia hadi viwanja vya tindigani kata ya kimandolu jijini Arusha siku ya jumamosi(kesho tarehe 15) ambapo atahutubia wananchi katika mkutano ulioandaliwa na chama hicho
Akizungumza mapema jana na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho juu ya maandalizi hayo Mwenyekiti wa...

 

9 years ago

Habarileo

Kinana amvaa Lowassa Arusha

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, aliyedai kuwa kazi nzuri anazofanya Rais John Magufuli, ni utekelezaji wa sera za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa hadharani Arusha leo

Aliyekuwa mgombea wa urais wa Chadema, Edward Lowassa anatarajia kuhutubia mkutano wa kumnadi mgombea wa ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema na kuwashukuru Watanzania kwa kura walizompa katika Uchaguzi Mkuu uliopita.

 

9 years ago

Global Publishers

Lowassa kufanya ziara nchi nzima kuanzia kesho

LOWASSA_0.jpgEdward Lowassa. Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 na kesho atakuwa Tanga. Katika ziara hiyo, Lowassa ataambatana na viongozi waandamizi wa Chadema na Ukawa kuwashukuru wananchi kwa namna walivyounga mkono upinzani na ajenda nzima ya mabadiliko katika Uchaguzi Mkuu uliopita. Taarifa kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa anusurika ajali ya ndege Arusha

Abiria 37 waliokuwa wamesafaria ndege ya Shirika la Precision Air, akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana walinusurika kifo, baada ya magurudumu manne ya ndege hiyo kupasuka ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani