Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mtanzania aliondoka Chelsea siku nyingi tu’

Mtanzania aliyekuwa akiichezea timu ya vijana ya Chelsea ya England, Adam Nditi. Na John Joseph
HABARI ni kuwa Mtanzania aliyekuwa akiichezea timu ya vijana ya Chelsea ya England, Adam Nditi, alishaondoka Chelsea zaidi ya miezi minne iliyopita na siyo mwezi uliopita. Nditi ambaye alizichezea timu za vijana za klabu hiyo ya London, ikiwemo ile ya chini ya umri wa miaka 21, aliondoka Chelsea tangu mwezi wa sita mwaka huu na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Lissu: Zitto alianza siku nyingi kuchafua Chadema

LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuweka zuio la muda kwa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mjumbe wa CC, Tundu Lissu amedhihirisha wazi kuwa chama kimemvua Zitto uanachama.

 

10 years ago

Bongo Movies

JOTI Amwisha Pete Ya Uchumba Mpenzi Wake Wa Siku Nyingi!!!

Kwa mujibuwa mtandao wa  JF, Mwigizaji  wa vichekesho Lucas Mhuvile, almaarufu kama Joti, anayepiga kazi kwenye kampuni ya Orijino Komedi, amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kwamba safari ya kuelekea kwenye taasisi muhimu zaidi duniani ya NDOA imewadia..

Akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti alionekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANADINGA WA SIKU NYINGI PATRICK KLUIVERT ATEMBELEA PANDE ZA ZANZIBAR


Mchezaji Patrikc Kluivert akiwasili Zanzibar huku akiwa amezingwa na wanahabari wanataka kupata mawili matatu kutoka kwa mwanadinga huyo wa siku nyingi.


kwa picha zaidi bofya soma zaidi



 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtanzania anahitaji sh 869 kwa siku

IMEBAINIKA kuwa kila Mtanzania anahitaji sh 869.5 kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya chakula kila siku ikilinganishwa na sh 414.8 mwaka 2007. Hayo yalisemwa na Waziri wa Fedha na Uchumi,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanaharakati wa siku nyingi wa wanyamapori nchini Tanzania ampongeza Rais Kenyatta

unnamed

Mwanaharakati wa siku nyingi wa wanyama pori na mazingira nchini Tanzania Kidon Mkuu, akiwa Philipine Manila December 2014 kwenye harakati zake za matembezi ya kupinga kuuwawa kwa Tembo na Faru akiwa na wanaharakati wenzake wa huko Philipine.

unnamed (1)

Mwanaharakati wa siku nyingi wa wanyama pori na mazingira nchini, Kidon Mkuu akiwa Philipine Manila December 2014 kwenye matembezi ya kupinga kuuwawa kwa Tembo na Faru akiwa na Susan Jaylo.

unnamed (2)

Mwanaharakati Kidon Mkuu akiwa kweye hoteli alikoshukia ya...

 

9 years ago

Michuzi

ASYA IDAROUS KHAMSINI ANOGESHA SIKU YA MTANZANIA SEATTLE

Walimbwende wakiwa tayari kufanya vitu vyao wakiwa na vivazi vya mwanamitindo nguli Asya Idarous Khamsini kwenye siku ya Mtanzania iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 5, 2015 Seattle jimbo la Washington nchini Marekani.Mlimbwende akiwa kwenye kivazi kutoka kwa mwanamitindo nguli Asya Idarous Khamsini kwenye siku ya Mtanzania iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 5, 2015 Seattle jimbo la Washington nchini Marekani.Kivazi chekundu kikiwa na riboni ya punda milia kikimfanya mlimbwende...

 

10 years ago

Vijimambo

MTANZANIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA

Mtanzania Joyce Rwehumbiza anayeishi Maryland nchini Marekani siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 alisherehekea siku yake ya kuzliwa ya kufikisha miaka 40 kwa kutangaza utalii wa Tanzania huku akichangisha fedha kwa bahati nasibu ya kuuza tiketi kwa lengo la kusaidia Tanzania na huku akionyesha video za uzuri wa mbuga zetu ikiwemo Zanzibar.Vitu mbalimbali viliuzwa kwa lengo la kutoa msaada kwa wasiojiweza Tanzania.Joyce Rwehumbiza akiongea machache na kutoa shukurani kwa wahudhuriaji kwenye...

 

10 years ago

Bongo5

Wastara: Sajuki aliondoka na nusu ya akili yangu

Muigizaji wa filamu, Wastara Juma Sajuki amesema pengo la mume wake Sajuki halijazibika. Sajuki alifariki January 2, 2013. “02.01.2015 Marehemu mume wangu kipenzi Juma Kilowoko (sajuki)anatimiza miaka 2 tangu atuache tukiwa na majozi tele moyoni mwetu,” ameandika Wastara kwenye Facebook. “Ni ukweli usipoingika ameondoka na nusu ya akili yangu maana sifanyi chochote bila kumfikilia yeye […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Kimlola:Kanumba Aliondoka na Nyota Yangu, Maombi Yameniokoa!

Mwigizaji wa filamu,Emmanuel Kimlola ‘Kimlola Kimlola’ ametamba kwa kusema kuwa maombi ya kazi zake katika uigizaji yamejibu kwani toka aokoke kila kitu akifanya kazi inajibu tofauti na siku zilizopita ilikuwa ngumu hata kupata kazi ya filamu na kushiriki hata sehemu ndogo, pengine watu walimsahau baada ya kifo cha Kanumba.

“Nilipatwa na hofu nikitaka kuamini kuwa labda swahiba yangu Marehemu Kanumba kaondoka na nyota yangu na hilo lilitokana na ukaribu na marehemu kwani ilikuwa kila akitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani