Lulu Awaogopa Wachawi Kutaja Baba Kijacho Wake
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anaogopa wachawi kumtaja mhusika wa mimba aliyonayo.
Lulu alifunguka hayo juzikati wakati mwanahabari wa GPL alipotaka kujua mhusika wa mzigo alionao ndipo msanii huyo aliposema aachwe kwanza maana wachawi ni wengi.“Mh! Naomba mniache kwanza maana mjini hapa wachawi ni wengi, mambo yakiwa freshi kila mmoja atamjua,” alisema Lulu.
Tuvute subra tu, itafahamika.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdrOBk-NteuBPl2AEFX99GGkL7bq-a5RzMviF45KqRhMwcigh8u2L9DtFalHBUlZp7o0-As1k4sIy0ctoXQ0hje/2.jpg?width=650)
LULU AWAOGOPA WACHAWI KUTAJA BABA KIJACHO WAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s72-c/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
WANAMWITA LULU MICHAEL UMRI WAKE NA UREMBO WAKE NI SHIIIIIDA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-hF31dHh7cbI%2FVK3B8jmgUSI%2FAAAAAAADVFQ%2FnfFpoWZu7bM%2Fs1600%2F10838621_331233430416796_227606700_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-JDwXGO9MVB8%2FVK3B8u6wkTI%2FAAAAAAADVFM%2FY5nwrYVWzUc%2Fs1600%2F10899114_641008079338681_1343568482_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s1600/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8MvZOZHb8A/VK3B9LrFbMI/AAAAAAADVFU/ahV70KiPkms/s1600/10914612_1614601382093096_849779325_n.jpg)
10 years ago
Bongo Movies12 Feb
Lulu: Baba Yangu ni Handsome!!
Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa na Baba yake ‘Mzee Michael’ kipindi akiwa mtoto na kuiandikia maneno kuwa yupo na baba yake mtanashati ambae amezaa chema na kujinasibu kuwa wanafanana.
"Enjoy na Throwback, Sina cha maana wala Jipya la ku post..! My handsome daddy...
10 years ago
Vijimambo12 Apr
LULU MICHAEL Agoma kumtaja BABA wa Mimba yake ...Kisa Kuogopa KUROGWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQykxR3cVykaBL9h0vaaxMAGO7kuxhap5gv3CmTljzWgMWmlUhkAKZuEzAxIPEndj*gGlKSRvMAjRSjmjKnv7aw/LULU.jpg)
LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVpel7Ujuf9OCvt0s8SCaR70fdUAimB*ZqZAk04cdMRopbMBCTSBvOkLhX5uYrNFkXfYQf513AcjjMkP37HnxJKG/kadinda.jpg?width=650)
LULU AFUNGUKA UKARIBU WAKE NA KADINDA
10 years ago
Bongo Movies20 May
Anti Lulu Awatishia Wake za Watu
Staa wa Bongo Movies na mtangazaji mwenye vituko vingi na kujiachia kwa sana amekuja na mpya nyingine ya kuwakanya wanaomtukana katika mitandao ya kijamii kila anapoweka picha zake. Anti Lulu amesema asilimia kubwa ya watu wanamtukana anapoweka picha zinamuonesha maumbile yake wanawake.
"Asilimia kubwa ya wanawake ndio wanaongoza kuniyukana nikiweka picha zangu za Mungu alivoniumba ..mapaja yangu,hips zangu ma**ko yangu...sasa sijui kwanini mwatukana nyie wanawake angalieni nisiwabebee...
10 years ago
Bongo Movies12 Feb
Mama Amkataa Bwana Wake Lulu
Kufuatia kauli yake ya hivi karibuni kuwa nyumba anayomiliki ilitokana na mchango wa bwana’ke (hakumtaja jina), mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ameibuka na kumkataa mwanaume huyo.
Kwa mujibu wa Lulu, nyumba hiyo iliyopo Kimara jijini Dar ameijenga kwa kusaidiana na bwana’ke kwa mtindo wa pasu kwa pasu (kuchangia nusu kwa nusu).Alisema kuwa anamshukuru Mungu kwani hadi hapo ilipofikia ikiwa inakaribia kumalizika ameijenga kwa nguvu zake na...
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
LULU Awashukia Baadhi ya “followers” Wake Wanaomdisi!!!
Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael aka Lulu, mwenye “followers” zaidi ya laki tatu kwenye mtandao wa INSTAGRAM, leo ameibuka na kuwapa makavu baadhi ya followers wake ambao wamekuwa waki-mdis eti aweki vitu vya maana….Lulu awambia…
“Pipo always have smthng to complain.....Sasa MTU Na akili yake timamu anakuja ku comment on my post ohhhh Weka vitu vya maana kweli!?nwei kwasababu SIKO ktk harakati za kubishana au kugombana nitatoa ushauri tu.....
1.hiyo button Ya Ku follow Cdhani kama...