Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabondia watua Mombasa na matumaini

TIMU ya taifa ya ndondi ya Tanzania iliwasili salama Mombasa, Kenya kushiriki mashindano ya Majiji ya Afrika Mashariki na Kati yaliyoanza kutimua vumbi tangu Jumatatu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mabondia Tanzania wang’ara Mombasa

MABONDIA wa timu ya taifa ya Tanzania wameanza vizuri mashindano ya majiji ya Afrika Mashariki baada ya mabondia wake watatu kuanza kwa ushindi dhidi ya wapinzani wao.

 

10 years ago

Habarileo

Mabondia 3 wapata medali

MA B O N D I A wa Tanzania wamejihakikishia medali katika mashindano ya majiji ya Afrika Mashariki yaliyotarajia kumalizika jana Mombasa nchini Kenya baada ya watatu kati ya wanne kutinga fainali.

 

9 years ago

Habarileo

Mabondia watamba kushinda

KUNDI la kwanza la timu ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya 11 ya Mataifa ya Afrika linaondoka leo kwenda Brazzaville, Congo huku timu ya ngumi ikitamba kufanya vizuri katika michezo hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabondia kuzipiga Christimass

Mabondia Francis cheka na Thomas Mashali ,leo watakuwa katika pambano la maadhimisho ya siku kuu ya Krismass

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabondia wataka kukumbukwa Kenya

Bondia wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Mohammed Abdullah Kent ametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kukutana na baadhi ya mabondia walioiwakilisha Kenya hapo awali.

 

11 years ago

Mwananchi

Mazoezi magumu yaua mabondia

 Wakati matukio ya mabondia kufariki wakiwa mazoezini yakizidi kushamiri Dar es Salaam, imeelezwa kuwa miongoni mwa vyanzo vya vifo hivyo vinatokana na mazoezi magumu na kupunguza uzito bila kufuata utaratibu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BFT yakamilisha leseni za mabondia

SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limekabidhi leseni za mabondia watakaoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, kwa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Akizungumza jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabondia waalikwa Zambia na Serbia

Mabondia wa Tanzania wamealikwa nchini Zambia na Serbia kujiiandaa na Michezo ya Afrika nchini Congo Brazzaville

 

10 years ago

Mwananchi

Mabondia wa Tanzania waliopigwa KO za hatari

Mchezo wa ngumi una vituko vingi hasa bondia anapopigwa kutokana na kuzidiwa uwezo, ndiyo sababu Mike ‘Iron’ Tyson wa Marekani alijikuta akitumia meno kujinusuru kwa Evander Holyfield wa Marekani pia mwaka 1997.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani