Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazoezi magumu yaua mabondia

 Wakati matukio ya mabondia kufariki wakiwa mazoezini yakizidi kushamiri Dar es Salaam, imeelezwa kuwa miongoni mwa vyanzo vya vifo hivyo vinatokana na mazoezi magumu na kupunguza uzito bila kufuata utaratibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mabondia watamba kushinda

KUNDI la kwanza la timu ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya 11 ya Mataifa ya Afrika linaondoka leo kwenda Brazzaville, Congo huku timu ya ngumi ikitamba kufanya vizuri katika michezo hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Mabondia 3 wapata medali

MA B O N D I A wa Tanzania wamejihakikishia medali katika mashindano ya majiji ya Afrika Mashariki yaliyotarajia kumalizika jana Mombasa nchini Kenya baada ya watatu kati ya wanne kutinga fainali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabondia kuzipiga Christimass

Mabondia Francis cheka na Thomas Mashali ,leo watakuwa katika pambano la maadhimisho ya siku kuu ya Krismass

 

10 years ago

Habarileo

Mabondia watua Mombasa na matumaini

TIMU ya taifa ya ndondi ya Tanzania iliwasili salama Mombasa, Kenya kushiriki mashindano ya Majiji ya Afrika Mashariki na Kati yaliyoanza kutimua vumbi tangu Jumatatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabondia wataka kukumbukwa Kenya

Bondia wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Mohammed Abdullah Kent ametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kukutana na baadhi ya mabondia walioiwakilisha Kenya hapo awali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabondia waalikwa Zambia na Serbia

Mabondia wa Tanzania wamealikwa nchini Zambia na Serbia kujiiandaa na Michezo ya Afrika nchini Congo Brazzaville

 

11 years ago

Tanzania Daima

BFT yakamilisha leseni za mabondia

SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limekabidhi leseni za mabondia watakaoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, kwa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Akizungumza jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuzo za mabondia sasa Jan. 25

ZILE tuzo za mabondia na waandishi wa habari waliofanya vema mwaka 2013 sasa zinatarajiwa kutolewa jijini Dar es Salaam, Januari 25. Awali tuzo hizo zilikuwa zitolewe Desemba 28 mwaka jana,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mabondia wa Tanzania waliopigwa KO za hatari

Mchezo wa ngumi una vituko vingi hasa bondia anapopigwa kutokana na kuzidiwa uwezo, ndiyo sababu Mike ‘Iron’ Tyson wa Marekani alijikuta akitumia meno kujinusuru kwa Evander Holyfield wa Marekani pia mwaka 1997.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani