Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva Kutoka Tanzania Watekwa Nchini DRC

whatsapp-image-2016-09-15-at-8-34-33-am-750x375

Baadhi ya magari yanayodaiwa kuchomwa moto.

Chama cha Wamiliki wa Magari ya Mizigo nchini Tanzania (TATOA) kinaripoti kwamba, waasi wa Mai Mai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wamewateka nyara madereva wa Tanzania na kuchoma baadhi ya magari ya mizigo. Waasi hao wanadai dola za Kimarekani elfu nne (karibu shilingi za Kitanzania milioni tisa) kwa kila dereva ama sivyo watawapiga risasi madereva wote. Pia waasi hao wametoa siku ya mwisho (deadline) ya majeshi yanayolinda amani...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Masheikh saba wa Tanzania ‘watekwa’ DRC

2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MASHEIKH saba wanaodaiwa kutoka Tanzania, wanajishughulisha na kuhubiri neno la Mungu, wanahofiwa kutekwa na kikundi cha waasi katika mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Taarifa zilizotolewa hivi karibuni, zinadai kuwa masheikh hao wanatokea Zanzibar na walikwenda nchini humo kwa ajili ya kuhubiri neno la Mungu.

Akizungumza na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Jumuiya  na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Rajab Katimba,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahudumu 14 wa misaada watekwa DRC

Wafanyi kazi 14 wa mashirika ya kutoa misaada wametekwa nyara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq

Watu wenye silaha wamewateka nyara wawindani 27 kutoka Qatar, miongoni mwao watu wa familia ya kifalme.

 

9 years ago

Michuzi

Mashehe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC waachiwa huru

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar, Balozi Silima Haji Kombo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (kulia) wakimsikiliza Balozi Mulamula wakati akizungumza na Waandishi wa...

 

5 years ago

Global Publishers

Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC

w1

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

w2

Wanahabari wakifuatilia tamko hilo.
1 2

 

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madereva 4 wa malori kutoka Tanzania wakutwa na virusi hivyo Uganda

Wizara ya afya nchini Uganda imetangaza wagonjwa wanne wapya wa virusi vya corona na kufanya idadi ya wanaothirika na ugonjwa huo kufikia 79.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.

Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.


  Mwanamuziki kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Kisanii T.I akizungumza na Waandishi wa Habari jioni ya leo kwenye moja ya ukumbi wa Sea Cliff hotel jijini Dar kuhusiana na onesho lake la kwanza atakalotumbuiza katika viwanja vya leaders Club,jijini Dar katika tamasha la Fiesta 2014,ambalo hufanyika kila mwaka mara moja,chini ya waandaji bingwa wa burudani hapa nchini kampuni ya Prime Time Promotions Lts sambamba na Clouds Media Group.. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani