Mafutiko yatikisa Mwanza
Jiji la Mwanza
BENJAMIN MASESE NA ABUBAKARI AKIDA, MWANZA
MVUA kubwa inayoendelea kunyesha mkoani Mwanza, imesababisha maafa makubwa yakiwamo ya watu kukosa sehemu za kujihifadhi, mitaa mingi kujaa maji na kukwamisha shughuli zote za kijamii.
Hali ilikuwa mbaya zaidi wilayani Kwimba ambako mafuriko yalionekana kuhatarisha maisha ya watu na mali zao.
Kutokana na Mvua hiyo iliyoanza kunyesha jana asubuhi, Mto Mirongo ulifurika na kusababisha mafuriko katika Mtaa wa Mabatini, hivyo magari...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Oct
IPTL yatikisa Mwanza
SAKATA la IPTL jana lilitikisa jiji la Mwanza baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, kuwaomba watanzania kusaidia kudai ripoti ya ufisadi kampuni ya kufua umeme ya Independent Power...
9 years ago
Michuzi
Rock City Marathon 2015 yatikisa jiji la Mwanza



10 years ago
Michuzi
CCM YATIKISA JIJI LA MWANZA,YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO



11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Skylight Band yatikisa jiji la Mwanza Pasaka kwenye kiota kipya cha Jembe Beach Resort
Wadau wa Jembe Beach Resort ndani ya kiota kipya cha kipekee chenye viwango vya kimataifa wakisubiri kuanza kwa burudani ya Skylight Band ndani ya jiji la Mwanza kwenye sikukuu ya Pasaka.
Sam Mapenzi wa Skylight Band akishow love na wadau wa ukweli ndani ya Jembe Beach Resort.
Mdau Rama wa Villa Park ya jijini Mwanza akipata Ukodak na Hellen Kazimoto wa Jembe Beach Resort wakati wa sherehe za Pasaka.
Counter ya Jembe Beach Resort ikiwa imesheheni vinywaji vya kila aina.
Mandhari ya...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mafuriko yatikisa Dar
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...
11 years ago
Mtanzania15 Aug
Ebola yatikisa Kenya

Shirika la Afya Duniani
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetahadharisha kuwa ukanda wa Afrika Mashariki uko katika kundi la pili lenye uwezekano wa kukumbwa na ugonjwa wa Ebola, kutokana na ukaribu wake na maeneo yaliyoathirika na mlipuko wa ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.
Hali hiyo inatokana na Kenya kuwa kitovu cha usafiri wa ndege, huku wasafiri wengi wanaokwenda nchi za Afrika Magharibi wakipitia nchini humo.
Kutokana na hali hiyo, WHO imetoa onyo kali kuhusu kuenea kwa...
10 years ago
Michuzi
CHADEMA YATIKISA ARUSHA



11 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Ebola yatikisa Moshi
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amewaondoa hofu wakazi mji wa Moshi kutokana na taharuki iliyoukumba mji huo ya kuwapo mgonjwa anayehisiwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa...
10 years ago
Habarileo16 Dec
Chadema yatikisa Tarime
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.