Maghembe aagiza ukaguzi kufanyika Muwsa
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe amemwagiza mkaguzi mkuu wa ndani wa wizara hiyo kwenda kukagua Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (Muwsa).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Prof Maghembe appoints new Muwsa Director
9 years ago
StarTV24 Dec
Waziri Kitwanga aagiza ukaguzi wa kina Uhamiaji
Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amemwagiza Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani kupeleka wakaguzi katika Idara ya Uhamiaji ili kuweza kuondoa utata na kujua malipo yanayofanyika kwa njia ya benki.
Waziri Kitwanga ametoa maagizo hayo baada ya kutembelea makao makuu ya Idara ya Uhamiaji na kujadiliana mambo mbalimbali na wakuu wa idara ili kuboresha utendaji kazi.
Mbali na Agizo hilo Waziri Kitwanga pia amewaagiza uhamiaji kukaa pamoja na Kamishna wa kazi ili kuweka utaratibu mzuri wa...
9 years ago
Habarileo10 Sep
RC Mbeya aagiza ukaguzi maalumu fidia ya Tanapa
SAKATA la malipo ya fidia kwa waliokuwa wakazi wa kata ya Msangaji wilayani Mbarali waliohamishwa kupisha Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, upande wa Ihefu limechukua sura mpya baada ya serikali mkoani hapa kuagiza ofisi ya mkaguzi mkoa wa Mbeya kufanya ukaguzi maalumu juu ya malipo yaliyofanyika kwa wahanga.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AakG5H8PymU/Xo2nskeb0bI/AAAAAAALmfg/SCsA_iZGk_EnhQ41IGGS4ZG6rAkCBVdJwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-15.jpg)
LUKUVI AAGIZA KUFANYIKA UHAKIKI WA KINA UTEKELEZAJI MAAMUZI YA KUTOONDOLEWA VIJIJI 920
![](https://1.bp.blogspot.com/-AakG5H8PymU/Xo2nskeb0bI/AAAAAAALmfg/SCsA_iZGk_EnhQ41IGGS4ZG6rAkCBVdJwCLcBGAsYHQ/s640/1-15.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-10.jpg)
Sehemu ya Manaibu Mawaziri wa Wizara zinazohusika katika utekelezaji maagizo ya kutoondolewa vijiji 920 kati ya 975 katika maeneo ya hifadhi wakifuatilia uwasilishaji taarifa ya utekelezaji uliofanywa na Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Mkurugenzi wa Muwsa aachiwa huru
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Mkurugenzi Muwsa atoa siku 90
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Wafanyakazi MUWSA walia na ufisadi
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Maji Safi Moshi (MUWSA), wamemtaka Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, kuunda timu itakayochunguza tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma yanayofanywa na menejimenti ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Siku 180 zaleta neema MUWSA
MWAKA jana Rais Jakaya Kikwete alizindua mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ikiwa ni sehemu ya juhudi ya kuitoa nchi kwenye kipato cha chini kwenda cha kati. Tanzania inatekeleza mpango...
11 years ago
Habarileo20 Jan
Mahakama yaaachia huru vigogo wa MUWSA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Moshi imewaachia huru washtakiwa wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya ufisadi, akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Moshi (MUWSA), Anthony Kasonta. Mwingine aliyeachiliwa ni aliyekuwa Kaimu Meneja wa Fedha na Utawala wa mamlaka hiyo, John Ndetiko.