Mahiga awataka wahitimu Udom kuwa wajasiriamali
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Dk Augustine Mahiga amewataka wahitimu wa chuo hicho kujiongezea elimu ya ufundi na ujuzi katika fani mbalimbali, ili kuwa na fursa za ajira na kupanua wigo wa ujasiriamali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLQY2rsNfjGw-lxI8pZco-WKDUvFeiUV21QTkoKiTUwxYN3M8j6GafeUcuD2RIQZXEfRzH2YnLzXaOT2oreRjb4/unnamed19.jpg?width=650)
JOKATE AWATAKA WAHITIMU WA VYUO VIKUU KUJIAJIRI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Jokate Mwegelo awataka wahitimu wa vyuo vikuu kujiajiri
![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q78h9MzM_2c/U3H0lTSMFTI/AAAAAAAFhVQ/Nf7bos1kZeM/s1600/unnamed+(20).jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Nov
WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Waziri Saada Mkuya awataka wahitimu mbalimbali nchini kujiajiri pasipo kuitegemea Serikali
Baadhi ya Wahitimu wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar wakiingia katika Viwanja vya Mahafali chuoni hapo.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akitoa hotuba kwa wahitimu hawapo pichani ambapo mewataka wajiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Upishi wakiwa wanamsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Kituo cha UDOM kuwa na mashine 40 za kusafisha figo
KITUO cha Uchunguzi wa maradhi cha Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatarajia kuwa na mashine za kisasa 40 za kusafisha figo pia kitakuwa kituo cha kwanza kubadilisha figo nchini.
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki awataka wajasiriamali kuchangamkia masoko
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mahaley akitoa neno kwenye Maonesho ya Bidhaa za Wajasiriamali wa Bagamoyo 2014, kwenye viwanda vya kituo cha mabasi Bagamoyo.
Hussein Makame-MAELEZO
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Joyce Mapunjo, amewataka wajasiriamali wa Bagamoyo na Watanzania kwa ujumla kuwa wabunifu na kuongeza thamani za bidhaa zao ili kuhakikisha wanafaidika na fursa za masoko ya bidhaa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ameyasema hayo wakati akifungua...
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Mama Kikwete awataka Wanawake Wajasiriamali kutengeneza bidhaa ambazo soko lake linapatikana kirahisi
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea wakati wa uzinduzi rasmi Umoja wa vikundi vya Wanawake Mbagala (UWAMBA) katika sherehe iliyofanyika kwenye ukumbi wa Dar Live.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wanawake wajasiriamali nchini wametakiwa kutengeneza bidhaa ambazo zinahitajika kwa wingi na watumiaji na kuacha kung’ang’ania kutengeneza bidhaa ambazo soko lake ni dogo.
Mwito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati wa uzinduzi wa...
10 years ago
StarTV05 Jan
Wahitimu JKT waaswa kuwa waadilifu.
Na Mbone Harman,
Tanga.
Wahitimu wa JKT kwa mujibu wa sheria wametakiwa kuyatumia mafunzo waliyoyapata kuwafundisha wanafunzi uadilifu kama sehemu ya kuandaa kizazi kijacho chenye uwezo wa kuipinga rushwa kwa maslahi ya Taifa.
Ni kauli ya mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT Meja Hamadi Malesa wakati wa sherehe ya wahitimu wa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kikosi cha 835 JK kilichopo wilayani Handeni mkoani Tanga.
Wahitimu hao wanatakiwa kuyatumia mafunzo hayo ipasavyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7TlxLQLocTM/VWCFZ8Ux2mI/AAAAAAAHZaM/XKttnV7F0rM/s72-c/2.jpg)
WAHITIMU WAHIMIZWA KUWA NA MTAJI UJUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TlxLQLocTM/VWCFZ8Ux2mI/AAAAAAAHZaM/XKttnV7F0rM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cv6dVg09jOA/VWCFaEFte_I/AAAAAAAHZaQ/MhREFB3Pn1c/s640/1.jpg)