MAJUMUISHO YA MAJADILIANO YA AWALI KATI YA TANZANIA, BENKI YA DUNIA NA IMF
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile ambaye ni kiongozi wa ujumbe kutoka Tanzania na anawakilisha kama Gavana Mbadala (Alternate Governor) pamoja na Gavana wa Benki Kuu Prof. Benno Ndulu ambaye pia ni Gavana katika mikutano hii. Katika picha viongozi hao wakiwa wanafanya majumuisho ya majadiliano ya awali na kukubaliana cha kufanya kwa pamoja na viongozi kutoka IMF na WB kuhusiana na hali ya uchumi kwa maana ya sera za fedha na sera za mapato na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAJUMUISHO YA MAJADILIANO YA AWALI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7ySRAhdeeQ/VThVMQUZgaI/AAAAAAAHSrU/Q0msbW4tHvU/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA SALUM MKUYA KATIK MKUTANO WA MAJUMUISHO NA IMF, BENKI YA DUNIA WASHINGTON DC MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-U7ySRAhdeeQ/VThVMQUZgaI/AAAAAAAHSrU/Q0msbW4tHvU/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bQg5nHgm1YU/VThVNKUO2TI/AAAAAAAHSsQ/ZkcSx-Vy7Hk/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Benki ya Dunia na IMF yaanza mikutano ya mwaka mjini Washington DC — Marekani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Bw.Herve’ Joly ambaye ni Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki. Mara baada tu ya kuingia ukumbini.
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania. Kutoka kushoto ni Kamishna wa Bajeti Bw.John Cheyo akifuatiwa na Bi.Mwanaidi Mtanda ambaye ni mhasibu mkuu wa Serikali na wa mwisho...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4m77cdyoG4E/VDWHsoC4WSI/AAAAAAAGovs/Y3ovsSd_OMs/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
BENKI YA DUNIA NA IMF YAANZA MIKUTANO YA MWAKA MJINI WASHINGTON DC - MAREKANI
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Benki ya Dunia yainusuru reli ya kati
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X-wLbM0j1J0/U9auqzCDgbI/AAAAAAAF7eU/Au7jse6QfrU/s72-c/unnamed.jpg)
MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU UFADHILI WA MIRADI YA MAENDELEO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN KWA MWAKA 2014/2015.
![](http://2.bp.blogspot.com/-X-wLbM0j1J0/U9auqzCDgbI/AAAAAAAF7eU/Au7jse6QfrU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wCV-abVkL_8/U9auoPLCa6I/AAAAAAAF7eo/6vQU320ptu0/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ELa_s2B9LbA/VYExNbu451I/AAAAAAAHgXs/g4q4Og1hfKo/s72-c/photo%2B1.jpeg)
WARSHA KATI YA MAHAKAMA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ELa_s2B9LbA/VYExNbu451I/AAAAAAAHgXs/g4q4Og1hfKo/s640/photo%2B1.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yTp07TP255o/XmfglGuRc-I/AAAAAAAEGMs/Ctb1fhBBLJoKBZjK89LB1t0MRIZ0eZHaQCLcBGAsYHQ/s72-c/6b6104e9-5b5a-4071-bcbe-17e4c02cf921.jpg)
BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA
Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020.
Lengo ni kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika katika ukamilishaji wa ukarabati huo, ziara hiyo iliyofanywa katika njia nzima ya reli ya kati ambapo maafisa kutoka benki ya Dunia wakishirikiana na wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC pamoja na wahandisi washauri kuoka DOHWA na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8fURey8qM/XmB4TlA3ewI/AAAAAAALhFE/CDr1F74eVukawJ-h2_rH9BuS0rrcKQHmACLcBGAsYHQ/s72-c/1c767af1-bc14-4f08-b70f-59a4c54d13d1.jpg)
UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA AMRADI
Benki hiyo ambayo ni wafadhili wa ukarabati wa mradi wa reli ya kati, hufanya ukaguzi mara kwa mara kwa lengo la kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika ili kukamilisha ukarabati huo.
Mtaalamu wa maswala ya elimu ya mazingira kutoka Benki ya Dunia Bi. Elina Kashangaki amesema kuwa wanafarijika kuona kwamba kazi...