Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKALA: CHEGE CHAPA NYINGINE

Said Nassoro ‘Chege Chigunda’. NAPOTAJA makundi yanayofanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva bila kupepesa ni lazima utalitaja Kundi la TMK Wanaume Family. Ndani yake kuna vichwa vingi ambavyo vinaunda kundi hilo na kati yao ni Aman James ‘Mheshimiwa Temba’ na Said Nassoro ‘Chege Chigunda’. Vijana hawa wamefanya mabadiliko makubwa katika muziki ndani na hata nje ya kundi. Kuna kazi za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chege aachia ‘Chapa Nyingine’

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Saidi Juma ‘Chege’, ameachia ngoma yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Chapa Nyingine’. Akizungumza jijini Dar es...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

BBCSwahili

Piga chapa kukomesha udukuzi?

Ujerumani yapendekeza kutumia piga chapa kujilinda kutokana na udukuzi. Kivipi?

 

11 years ago

GPL

PENNY; CHAGUA BEGA, CHAPA ILALE!

Stori: Anko Nangale
LEO nabonga naye mwanadashosti anayeuza nyago kwenye kichupa cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Nianze kwa kukupa gwala kiroho safi. Juzikati umefunguka kuwa umepiga chini kiaina malovee na Diamond, mzuka mwingi. Umetisha sana. Mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’. Unajua laifu la malavidavi ndivyo lilivyo siku hizi. Mizinguo inakuwa mingi na wengi huwa wanatambua kuna...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kosa la upigaji chapa la $500m Nigeria

Mamlaka inayosimamia mawasiliano Nigeria imesema ilifanya kosa la $500m (£330m) katika upigaji chapa ilipokuwa ikitangaza kupunguzwa kwa faini iliyotozwa kampuni ya MTN.

 

9 years ago

Mtanzania

Kili Stars chapa hao Wahabeshi

Kilimanjaro-StarsNA MWANDISHI WETU

TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’ leo saa 10.00 jioni itakuwa ikisaka nafasi ya kuingia nusu fainali ya Kombe la Kagame pale itakapovaana na wenyeji Ethiopia kwenye mchezo wa robo fainali.

Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa pande hizo mbili kukutana ndani ya siku tatu baada ya juzi kuvaana katika mechi ya hatua ya makundi wakitoka Kundi A na Ethiopia kulazimisha sare ya bao 1-1.

Bao la Kili Stars lilifungwa na winga machachari Simon Msuva huku Ethiopia...

 

9 years ago

Global Publishers

Aliens wahusishwa na chapa ya mnyama siku za mwisho

Scary_Movie_Aliens.jpgILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA

Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo kuna kila dalili kwamba viumbe hawa wa ajabu waishio angani wa Aliens wamekuwepo enzi na enzi tangu Agano la Kale. Mbali na Aliens lakini viumbe wasioonekana wapo wengi mno na bado kuna jamii kubwa sana ya virusi ambavyo bado havijagundulika. SASA ENDELEA…

Katika hali kama hiyo, kuna andiko kutoka kwenye Aliens Encounters kuwa viumbe hawa pamoja na vitu vinavyoonekana angani visivyoeleweka almaarufu kwa jina la Ufo ni viumbe...

 

11 years ago

Michuzi

ZANLINK YAZINDUA UTAMBULISHO WA CHAPA YAKE MPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ZanLink,Sanjay Raja akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua nembo yake mpya.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua chapa mpya LIVE IT, LOVE IT kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas

Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.

2

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez  (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa  chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.

Meneja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani