MAKALA: CHEGE CHAPA NYINGINE
Said Nassoro ‘Chege Chigunda’. NAPOTAJA makundi yanayofanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva bila kupepesa ni lazima utalitaja Kundi la TMK Wanaume Family. Ndani yake kuna vichwa vingi ambavyo vinaunda kundi hilo na kati yao ni Aman James ‘Mheshimiwa Temba’ na Said Nassoro ‘Chege Chigunda’. Vijana hawa wamefanya mabadiliko makubwa katika muziki ndani na hata nje ya kundi. Kuna kazi za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Chege aachia ‘Chapa Nyingine’
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Saidi Juma ‘Chege’, ameachia ngoma yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Chapa Nyingine’. Akizungumza jijini Dar es...
11 years ago
GPL14 Jan
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Piga chapa kukomesha udukuzi?
11 years ago
GPLPENNY; CHAGUA BEGA, CHAPA ILALE!
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Kosa la upigaji chapa la $500m Nigeria
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Kili Stars chapa hao Wahabeshi
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’ leo saa 10.00 jioni itakuwa ikisaka nafasi ya kuingia nusu fainali ya Kombe la Kagame pale itakapovaana na wenyeji Ethiopia kwenye mchezo wa robo fainali.
Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa pande hizo mbili kukutana ndani ya siku tatu baada ya juzi kuvaana katika mechi ya hatua ya makundi wakitoka Kundi A na Ethiopia kulazimisha sare ya bao 1-1.
Bao la Kili Stars lilifungwa na winga machachari Simon Msuva huku Ethiopia...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Aliens wahusishwa na chapa ya mnyama siku za mwisho
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo kuna kila dalili kwamba viumbe hawa wa ajabu waishio angani wa Aliens wamekuwepo enzi na enzi tangu Agano la Kale. Mbali na Aliens lakini viumbe wasioonekana wapo wengi mno na bado kuna jamii kubwa sana ya virusi ambavyo bado havijagundulika. SASA ENDELEA…
Katika hali kama hiyo, kuna andiko kutoka kwenye Aliens Encounters kuwa viumbe hawa pamoja na vitu vinavyoonekana angani visivyoeleweka almaarufu kwa jina la Ufo ni viumbe...
11 years ago
MichuziZANLINK YAZINDUA UTAMBULISHO WA CHAPA YAKE MPYA
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua chapa mpya LIVE IT, LOVE IT kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja...