Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chege aachia ‘Chapa Nyingine’

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Saidi Juma ‘Chege’, ameachia ngoma yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Chapa Nyingine’. Akizungumza jijini Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAKALA: CHEGE CHAPA NYINGINE

Said Nassoro ‘Chege Chigunda’. NAPOTAJA makundi yanayofanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva bila kupepesa ni lazima utalitaja Kundi la TMK Wanaume Family. Ndani yake kuna vichwa vingi ambavyo vinaunda kundi hilo na kati yao ni Aman James ‘Mheshimiwa Temba’ na Said Nassoro ‘Chege Chigunda’. Vijana hawa wamefanya mabadiliko makubwa katika muziki ndani na hata nje ya kundi. Kuna kazi za...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Dewji Blog

OCTOPIZZO aachia nyingine ‘Jump PYDU’

CASV8WHUsAA-mlA

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Msanii mwenye kupiga ‘bling bling’ ambaye pia ni balozi wa Vijana nchini Kenya, OCTOPIZZO  ameachia wimbo wake mpya  huo wa ‘Jump PYDU’ kupitia mtandao wa iTunes na YouTube.

Kupitia ukurasa wake wa kijamii wa twitter, OCTOPIZZO alitumia wasaha huo  kuwatambulisha wafuasi wake ‘fans’ wake juu ya wimbo wake huo.

Unaweza kuona kazi hiyo mpya ya OCTOPIZZO  hapa chini:

BANGING HOT: Octopizzo Proves That He Is The King Of 25flow New Video! – News |...

 

9 years ago

Global Publishers

Chris Brown Aachia Ngoma Mpya Nyingine – Little More

Chris-brown-royalty-album-coverCover ya album mpya ‘Royalty’ ya Chris Brown

BAADA ya kuachia ngoma zake mfululizo, staa wa muziki wa Pop, Chris Brown ameendeleza mfululizo wake kwa kutoa ngoma mpya ijulikanayo kama Little More ambayo itapatikana kwenye albamu yake mpya ya Royalty atakayoiachia kesho Ijumaa Desemba 18.
Ngoma zake nyingine zilizotangulia kutoka kwenye albamu hiyo ni Zero, Fine By Me, Back to Sleep, Anyway aliyomshirikisha Tayla Parxy pamoja na Wrist aliyomshirikisha Solo Lucci.

Imeandaliwa na Andrew...

 

10 years ago

Dewji Blog

OCTOPIZZO aachia nyingine ‘Jump PYDU’ iko humu

CASV8WHUsAA-mlA

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Msanii mwenye kupiga ‘bling bling’ ambaye pia ni balozi wa Vijana nchini Kenya, OCTOPIZZO  ameachia wimbo wake mpya  huo wa ‘Jump PYDU’ kupitia mtandao wa iTunes na YouTube.

Kupitia ukurasa wake wa kijamii wa twitter, OCTOPIZZO alitumia wasaha huo  kuwatambulisha wafuasi wake ‘fans’ wake juu ya wimbo wake huo.

Unaweza kuona kazi hiyo mpya ya OCTOPIZZO  hapa chini:

BANGING HOT: Octopizzo Proves That He Is The King Of 25flow New Video! – News |...

 

9 years ago

Dewji Blog

DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa

dj kflip

Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.

Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...

 

11 years ago

BBCSwahili

Piga chapa kukomesha udukuzi?

Ujerumani yapendekeza kutumia piga chapa kujilinda kutokana na udukuzi. Kivipi?

 

9 years ago

Mtanzania

Kili Stars chapa hao Wahabeshi

Kilimanjaro-StarsNA MWANDISHI WETU

TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’ leo saa 10.00 jioni itakuwa ikisaka nafasi ya kuingia nusu fainali ya Kombe la Kagame pale itakapovaana na wenyeji Ethiopia kwenye mchezo wa robo fainali.

Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa pande hizo mbili kukutana ndani ya siku tatu baada ya juzi kuvaana katika mechi ya hatua ya makundi wakitoka Kundi A na Ethiopia kulazimisha sare ya bao 1-1.

Bao la Kili Stars lilifungwa na winga machachari Simon Msuva huku Ethiopia...

 

11 years ago

GPL

PENNY; CHAGUA BEGA, CHAPA ILALE!

Stori: Anko Nangale
LEO nabonga naye mwanadashosti anayeuza nyago kwenye kichupa cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Nianze kwa kukupa gwala kiroho safi. Juzikati umefunguka kuwa umepiga chini kiaina malovee na Diamond, mzuka mwingi. Umetisha sana. Mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’. Unajua laifu la malavidavi ndivyo lilivyo siku hizi. Mizinguo inakuwa mingi na wengi huwa wanatambua kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani